Kijana unayejitafuta kimaisha, katika utafutaji wako Zanzibar iweke namba moja

Thats opportunity machupa mengi mnoo ya plastiki. Napambania niweze kupata mashine ya kusaga unga hizi. Huku chupa zenye thaman ni zile ndogo mana wamama wanazitumia kuwekea juisi za matunda. Naweka picha muda mfupi ujao
Biashara ya kununua machupa na. Kuya leta dar haifanyiki huko ? Kalaga Baho Nongwa
 
Wanawakenwa bara wa nn mkuu? Mm nimepata mshangazi mmoja Michamvi una trako la kwenda. Siku ya kwanza nilokutana nao ulinipitia karibu unanukia al-Udi nkadinda masaa 3.. kuna mimama inajipenda wazee sio poa
Umeanza kuniumiza mbavu zangu 😹😹

Shem utaibuka na jini unakoendea..!!
 
Binafsi nilishaamua long time lazima nije Zanzibar kupiga vibarua vya ujenzi Ili nipate nauli ya kwenda Ukraine kwenye ujenzi baada ya vita kuisha.
* Ukitaka utafute maisha, usikae nchi yoyote au sehemu ambapo wanatumia dini yao kama sehemu ya serikali*
Nchi yoyote au sehemu ambapo dini ndiyo kipaumbele, siwezi kukaa maana tutakwaruzana.
Wewe umefunga, mimi nisile sehemu ya wazi kisa wewe umefunga. Huo ni ujinga mkubwa sana
 
Mnajitoa ufahamu Kama vile Zanzibar ni marekani eeeh,
Mtu ajichanganye Zanzibar bila connection Kama hujaishia kiunua miguu!
 
Mafunzo hutolewa bure kabisa, inshu hapo ni kupata connection tu ya kuingia kwenye hoteli husika. Pia utapata chakula na usafiri bure, na mwisho wa mwezi unapewa pesa ya kujikimu. Hoteli niliyo kuwepo walikuwa wanatoa 100k kwa trainee, ukimaliza trainee unaanza kulipwa mshahara husika kutokana na sekta uliyopo.
Mafunzo miezi 4 bure? Mnapenda sana kuacha magepu
 
Shukrani kwa ufafanuzi mzuri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…