Kijana wa kiume sipendi mpira wala masumbwi, je kuna shida?

Kijana wa kiume sipendi mpira wala masumbwi, je kuna shida?

Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, si mpenzi wa mpira wala ndondi. Sipendi magari wala kubeti, kifupi sifuatilii, ukiniuliza hata mchezaji wa Simba au Yanga mmoja simjui, wala wa Barcelona au Man United kifupi sina interest!

Kuna muda hadi wanawake wananishangaa maana utakuta wao wanajua au wanafatilia mechi mimi walaah. Napata wakati mgumu kuielezea jamii hii tabia yangu.

Ukiniona sasa utacheka, ni njemba moja ina midevu na imejaa. Watu kwa muonekano wangu unakuta umekaa kwenye gari anaanza kukuliza maswali ya mpira, alaaaah atachokutana nacho anashindwa kuamini.

Kuna watu wanataka ukaribu na mimi huanzisha mazungumzo ya kuuliza mambo ya matokeo ya jana vipi au ndondi za jana vip? Ebooo, sasa hushindwa kuamini kama sijui! Hudhani labda sipendi kuongea, kumbe sina nachikijua. Ni huzuni kwakweli!

Je, hili ni tatizo gani, maana naanza kuonekana tofauti?

Sina marafiki, personality ngumu, sipendi michezo wala kubeti, yaani shuhuli zote zinazowaunganisha vijana wa kiume simo. Kuna shida gani hapo?


NB: USISAHAU KUREACT NIJUE UZI UMEKUPATAJE APO

STATUS : Makasiriko 1
LIKE 4
Kwanza nicheke, unaishi kwa kukalili usipobadilika utaishi kwa stress,.. Hakuna sheria iliyowekwa kwamba ukishakuwa mwanaume lazima uwe unaishi kwa kufanya vyote ivyo ni vile jamii zimetawaliwa na dhana izo na si lazima kuishi kwa kufuata dhana izo... Be you.
 
Kwanza nicheke, unaishi kwa kukalili usipobadilika utaishi kwa stress,.. Hakuna sheria iliyowekwa kwamba ukishakuwa mwanaume lazima uwe unaishi kwa kufanya vyote ivyo ni vile jamii zimetawaliwa na dhana izo na si lazima kuishi kwa kufuata dhana izo... Be you.
Usicheke mkuu,
Ni huzuni kwakweli
 
Sioni kama hilo ni tatizo, huo ni mfumo wa maisha yako ndugu. Siyo lazima ufanane na wengine, mtu wa tofauti lazima tu awepo. Ishi maisha yako.
 
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, si mpenzi wa mpira wala ndondi. Sipendi magari wala kubeti, kifupi sifuatilii, ukiniuliza hata mchezaji wa Simba au Yanga mmoja simjui, wala wa Barcelona au Man United kifupi sina interest!

Kuna muda hadi wanawake wananishangaa maana utakuta wao wanajua au wanafatilia mechi mimi walaah. Napata wakati mgumu kuielezea jamii hii tabia yangu.

Ukiniona sasa utacheka, ni njemba moja ina midevu na imejaa. Watu kwa muonekano wangu unakuta umekaa kwenye gari anaanza kukuliza maswali ya mpira, alaaaah atachokutana nacho anashindwa kuamini.

Kuna watu wanataka ukaribu na mimi huanzisha mazungumzo ya kuuliza mambo ya matokeo ya jana vipi au ndondi za jana vip? Ebooo, sasa hushindwa kuamini kama sijui! Hudhani labda sipendi kuongea, kumbe sina nachikijua. Ni huzuni kwakweli!

Je, hili ni tatizo gani, maana naanza kuonekana tofauti?

Sina marafiki, personality ngumu, sipendi michezo wala kubeti, yaani shuhuli zote zinazowaunganisha vijana wa kiume simo. Kuna shida gani hapo?


NB: USISAHAU KUREACT NIJUE UZI UMEKUPATAJE APO

STATUS : Makasiriko 1
LIKE 4
Huyu anafanya kazi TIGO ....makao makuu .... hawezi penda mpira ndo wafanyakazi wa TIGO walivyo
 
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, si mpenzi wa mpira wala ndondi. Sipendi magari wala kubeti, kifupi sifuatilii, ukiniuliza hata mchezaji wa Simba au Yanga mmoja simjui, wala wa Barcelona au Man United kifupi sina interest!

Kuna muda hadi wanawake wananishangaa maana utakuta wao wanajua au wanafatilia mechi mimi walaah. Napata wakati mgumu kuielezea jamii hii tabia yangu.

Ukiniona sasa utacheka, ni njemba moja ina midevu na imejaa. Watu kwa muonekano wangu unakuta umekaa kwenye gari anaanza kukuliza maswali ya mpira, alaaaah atachokutana nacho anashindwa kuamini.

Kuna watu wanataka ukaribu na mimi huanzisha mazungumzo ya kuuliza mambo ya matokeo ya jana vipi au ndondi za jana vip? Ebooo, sasa hushindwa kuamini kama sijui! Hudhani labda sipendi kuongea, kumbe sina nachikijua. Ni huzuni kwakweli!

Je, hili ni tatizo gani, maana naanza kuonekana tofauti?

Sina marafiki, personality ngumu, sipendi michezo wala kubeti, yaani shuhuli zote zinazowaunganisha vijana wa kiume simo. Kuna shida gani hapo?


NB: USISAHAU KUREACT NIJUE UZI UMEKUPATAJE APO

STATUS : Makasiriko 1
LIKE 4
Sory Mpra upo huo ambao haupendi?
Utakufa Mapema sana angalia siyo Kila mtu ana AFYA Njema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3]
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Sijui nacheka nini 😁😁 hii jamaa kila kitu kwake hakipandi alafu hataki watu waende kwake 🙄
 
Si kweli labda nilikua natetea mawazo huru! siwezi tetea iko kitu

Lakin mi kuna wachezaji na wafuatiliaji mpira na ndondi ni mapunga nawajua.

So hiyo si hoja
Hufuatilii mpira wala ndondi ila unawajua na kufuatilia wachezaji mapunga, lazima wewe shoga mwenzao..
 
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, si mpenzi wa mpira wala ndondi. Sipendi magari wala kubeti, kifupi sifuatilii, ukiniuliza hata mchezaji wa Simba au Yanga mmoja simjui, wala wa Barcelona au Man United kifupi sina interest!

Kuna muda hadi wanawake wananishangaa maana utakuta wao wanajua au wanafatilia mechi mimi walaah. Napata wakati mgumu kuielezea jamii hii tabia yangu.

Ukiniona sasa utacheka, ni njemba moja ina midevu na imejaa. Watu kwa muonekano wangu unakuta umekaa kwenye gari anaanza kukuliza maswali ya mpira, alaaaah atachokutana nacho anashindwa kuamini.

Kuna watu wanataka ukaribu na mimi huanzisha mazungumzo ya kuuliza mambo ya matokeo ya jana vipi au ndondi za jana vip? Ebooo, sasa hushindwa kuamini kama sijui! Hudhani labda sipendi kuongea, kumbe sina nachikijua. Ni huzuni kwakweli!

Je, hili ni tatizo gani, maana naanza kuonekana tofauti?

Sina marafiki, personality ngumu, sipendi michezo wala kubeti, yaani shuhuli zote zinazowaunganisha vijana wa kiume simo. Kuna shida gani hapo?


NB: USISAHAU KUREACT NIJUE UZI UMEKUPATAJE APO

STATUS : Makasiriko 1
LIKE 4
Huyu mimi kabisa yani sina mda na hayo mavitu
 
Hufuatilii mpira wala ndondi ila unawajua na kufuatilia wachezaji mapunga, lazima wewe shoga mwenzao..
Hayo maneno tu babuuu!!
wachezaji maarufu nawajua
Messi
Christian
Boko
Mayele
nk.
Kuwajua na kufuatilia ni tofauti
shida una akili kisoda
 
Back
Top Bottom