Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #81
Nakaa pale nikisubiriMkuu hio ishu ya kua na hasira za kalibu na mambo ya kiroho naomba maelekezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakaa pale nikisubiriMkuu hio ishu ya kua na hasira za kalibu na mambo ya kiroho naomba maelekezo
iyo ni pie mkuu 22/7Kama unapiga pipe na kumwaga mtindi inatosha huo ndio ukidume.
hebu nikapumzike sasa maana nilikua TenseBe you, do not compare yourself with others relax
Saint Anne nimekumisi misi flani hivi, sema na wewe ulokole lokole wako huwa unaniboa.Janjajanja arts, na wewe hupendi mpira?
MLEVi Mmoja anawaitaga introvert wagonjwa🤣🤣🤣🤣
Kila mtu kuna vitu anavyovipenda na ambavyo havipendi, kama mm sipendi nyimbo.Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, si mpenzi wa mpira wala ndondi. Sipendi magari wala kubeti, kifupi sifuatilii, ukiniuliza hata mchezaji wa Simba au Yanga mmoja simjui, wala wa Barcelona au Man United kifupi sina interest!
Kuna muda hadi wanawake wananishangaa maana utakuta wao wanajua au wanafatilia mechi mimi walaah. Napata wakati mgumu kuielezea jamii hii tabia yangu.
Ukiniona sasa utacheka, ni njemba moja ina midevu na imejaa. Watu kwa muonekano wangu unakuta umekaa kwenye gari anaanza kukuliza maswali ya mpira, alaaaah atachokutana nacho anashindwa kuamini.
Kuna watu wanataka ukaribu na mimi huanzisha mazungumzo ya kuuliza mambo ya matokeo ya jana vipi au ndondi za jana vip? Ebooo, sasa hushindwa kuamini kama sijui! Hudhani labda sipendi kuongea, kumbe sina nachikijua. Ni huzuni kwakweli!
Je, hili ni tatizo gani, maana naanza kuonekana tofauti?
Sina marafiki, personality ngumu, sipendi michezo wala kubeti, yaani shuhuli zote zinazowaunganisha vijana wa kiume simo. Kuna shida gani hapo?
Duuu, kwa hiyo ukipigwa wimbo wa mapozi hauushobokei wala nini?Kila mtu kuna vitu anavyovipenda na ambavyo havipendi, kama mm sipendi nyimbo.
Kheeeh hupendi nyimbo aisee hii ningekushangaa na mmKila mtu kuna vitu anavyovipenda na ambavyo havipendi, kama mm sipendi nyimbo.
Sawa mkuu…Naipokea na hii uwe na amaniWewe ni mchicha mwiba, mwandiko, majibu etc vinathibitisha hilo.
😂😂😂😂mi mwenyewe nimechekaDuuu, kwa hiyo ukipigwa wimbo wa mapozi hauushobokei wala nini?
Usijari mkuu.Sawa mkuu…Naipokea na hii uwe na amani
Hichi kicheko inaonyesha kabisa umeleft group una lipi la kujitetea!😂😂😂😂Aloooooh
Ni aina ya ugonjwa wa akili pia.Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, si mpenzi wa mpira wala ndondi. Sipendi magari wala kubeti, kifupi sifuatilii, ukiniuliza hata mchezaji wa Simba au Yanga mmoja simjui, wala wa Barcelona au Man United kifupi sina interest!
Kuna muda hadi wanawake wananishangaa maana utakuta wao wanajua au wanafatilia mechi mimi walaah. Napata wakati mgumu kuielezea jamii hii tabia yangu.
Ukiniona sasa utacheka, ni njemba moja ina midevu na imejaa. Watu kwa muonekano wangu unakuta umekaa kwenye gari anaanza kukuliza maswali ya mpira, alaaaah atachokutana nacho anashindwa kuamini.
Kuna watu wanataka ukaribu na mimi huanzisha mazungumzo ya kuuliza mambo ya matokeo ya jana vipi au ndondi za jana vip? Ebooo, sasa hushindwa kuamini kama sijui! Hudhani labda sipendi kuongea, kumbe sina nachikijua. Ni huzuni kwakweli!
Je, hili ni tatizo gani, maana naanza kuonekana tofauti?
Sina marafiki, personality ngumu, sipendi michezo wala kubeti, yaani shuhuli zote zinazowaunganisha vijana wa kiume simo. Kuna shida gani hapo?
How?Ata hivyo mpira haram
Shughuri zote zinazo waunganisha vijana wa kiume haupo?Lazima Kuna tatizo?Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, si mpenzi wa mpira wala ndondi. Sipendi magari wala kubeti, kifupi sifuatilii, ukiniuliza hata mchezaji wa Simba au Yanga mmoja simjui, wala wa Barcelona au Man United kifupi sina interest!
Kuna muda hadi wanawake wananishangaa maana utakuta wao wanajua au wanafatilia mechi mimi walaah. Napata wakati mgumu kuielezea jamii hii tabia yangu.
Ukiniona sasa utacheka, ni njemba moja ina midevu na imejaa. Watu kwa muonekano wangu unakuta umekaa kwenye gari anaanza kukuliza maswali ya mpira, alaaaah atachokutana nacho anashindwa kuamini.
Kuna watu wanataka ukaribu na mimi huanzisha mazungumzo ya kuuliza mambo ya matokeo ya jana vipi au ndondi za jana vip? Ebooo, sasa hushindwa kuamini kama sijui! Hudhani labda sipendi kuongea, kumbe sina nachikijua. Ni huzuni kwakweli!
Je, hili ni tatizo gani, maana naanza kuonekana tofauti?
Sina marafiki, personality ngumu, sipendi michezo wala kubeti, yaani shuhuli zote zinazowaunganisha vijana wa kiume simo. Kuna shida gani hapo?