Kijana wa kiume sipendi mpira wala masumbwi, je kuna shida?

Kijana wa kiume sipendi mpira wala masumbwi, je kuna shida?

Si kweli labda nilikua natetea mawazo huru! siwezi tetea iko kitu

Lakin mi kuna wachezaji na wafuatiliaji mpira na ndondi ni mapunga nawajua.

So hiyo si hoja
Wewe una shida yaani kina messi na cristiano! Kuna pacome, kuna bayer 04 leverkusen huwajui ila hao wachezaji mashoga ndio unawajua!
Acha kutusumbua akili wewe ni shoga moja kwa moja bila kupepesa macho.
 
Wewe una shida yaani kina messi na cristiano! Kuna pacome, kuna bayer 04 leverkusen huwajui ila hao wachezaji mashoga ndio unawajua!
Acha kutusumbua akili wewe ni shoga moja kwa moja bila kupepesa macho.
Sawa sikupingi ni mawazo yako!

Lakini punguza hasira😂😂😂watu kama nyie si rahisi kuelewa

Kwaiyo mtu ambae hamjui messi au christiano ni shoga😂😂😂Aloooo hii nchi Isaidiwe
 
Sawa sikupingi ni mawazo yako!

Lakini punguza hasira😂😂😂watu kama nyie si rahisi kuelewa

Kwaiyo mtu ambae hamjui messi au christiano ni shoga😂😂😂Aloooo hii nchi Isaidiwe
Hivi humjui messi au cristiano halafu wachezaji mashoga na wanamichezo mashoga unawajua,ulikuwa unatafuta nini kwao huko? Just imagine ...shida ipo hapo mdogo wangu
 
First of all shida yako' inaweza ku base kwenye factor 3 hivi.
1.Kuanzia umri mdogo ulikuwa unajichanganya na watoto wenzako Baada ya kubalehe ndio ukaanza tabia tofauti...hii Ina sababu ya kibailogia wala sio upinde.
2.una hasira za karbu na unaona labda watu hawakupendi? Hii ni sababu ya kiroho zaidi.
3.Unachoka haraka kufuatilia vitu kama mpira, discussion, urafiki Huwezi kutulia Dakika 80-90 kuangalia mpira
Una Fanya vitu vingi nusu nusu...hii Ina sababu za mental issue.
....sasa Ipi inakuelezea zaidi?
 
Back
Top Bottom