Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #61
kubwa nn
Kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubwa
Wazee wa alphabets mnajiuza sana aiseeMimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, si mpenzi wa mpira wala ndondi. Sipendi magari wala kubeti, kifupi sifuatilii, ukiniuliza hata mchezaji wa Simba au Yanga mmoja simjui, wala wa Barcelona au Man United kifupi sina interest!
Kuna muda hadi wanawake wananishangaa maana utakuta wao wanajua au wanafatilia mechi mimi walaah. Napata wakati mgumu kuielezea jamii hii tabia yangu.
Ukiniona sasa utacheka, ni njemba moja ina midevu na imejaa. Watu kwa muonekano wangu unakuta umekaa kwenye gari anaanza kukuliza maswali ya mpira, alaaaah atachokutana nacho anashindwa kuamini.
Kuna watu wanataka ukaribu na mimi huanzisha mazungumzo ya kuuliza mambo ya matokeo ya jana vipi au ndondi za jana vip? Ebooo, sasa hushindwa kuamini kama sijui! Hudhani labda sipendi kuongea, kumbe sina nachikijua. Ni huzuni kwakweli!
Je, hili ni tatizo gani, maana naanza kuonekana tofauti?
Sina marafiki, personality ngumu, sipendi michezo wala kubeti, yaani shuhuli zote zinazowaunganisha vijana wa kiume simo. Kuna shida gani hapo?
Uzi upi huo mkuu?Kuna Uzi wako watu walikutilia mashaka sana, muda utaamua tu kama masega bado yapo
Kwani twitter inaitwaje?picha gan tena mkuu
XKwani twitter inaitwaje?
nimekuelewa mkuuKwani twitter inaitwaje?
We unapenda nini au mchezo gani unaupenda au uliwahi kuucheza shuleni na utotoniSiwish kwakweli kwasababu hivo vitu vyote ni passion namm hiko kitu ndo nimekosa
duuh mkuu mbona hiyo kashfa nzito!!
Unauhakika ni hii ID
Si mpenzi wa michezo yyte !!We unapenda nini au mchezo gani unaupenda au uliwahi kuucheza shuleni na utotoni
sifutagi mm kitu mkuu ikienda Nalenalo imeendaNdio mkuu, nitascreen short nikutumie ikiwa bado hujaifuta
Yaani watu wanatwanga?.Kuna Uzi wako watu walikutilia mashaka sana, muda utaamua tu kama masega bado yapo
sifutagi mm kitu mkuu ikienda Nalenalo imeenda
Mhh kwa kicheko hicho, ndungu zangu tushapoteza nguvu kazi.😂😂😂😂Aloooooh
Mhh kwa kicheko hicho, ndungu zangu tushapoteza nguvu kazi.😂😂😂😂Aloooooh
Wewe ni introvert.Pia si mpenzi wa pombe wala mikutano na watu.Sitaki watu wajue kwangu pia.
Ni sawa…. mawazo yakoMhh kwa kicheko hicho, ndungu zangu tushapoteza nguvu kazi.
Mkuu hio ishu ya kua na hasira za kalibu na mambo ya kiroho naomba maelekezoFirst of all shida yako' inaweza ku base kwenye factor 3 hivi.
1.Kuanzia umri mdogo ulikuwa unajichanganya na watoto wenzako Baada ya kubalehe ndio ukaanza tabia tofauti...hii Ina sababu ya kibailogia wala sio upinde.
2.una hasira za karbu na unaona labda watu hawakupendi? Hii ni sababu ya kiroho zaidi.
3.Unachoka haraka kufuatilia vitu kama mpira, discussion, urafiki Huwezi kutulia Dakika 80-90 kuangalia mpira
Una Fanya vitu vingi nusu nusu...hii Ina sababu za mental issue.
....sasa Ipi inakuelezea zaidi?
si introvert lakini si extrovert persee