I guess you live in your own world surrounded with an imagination things..Im happy but I just wonder people cannot understand some are just born different
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I guess you live in your own world surrounded with an imagination things..Im happy but I just wonder people cannot understand some are just born different
Umewajuaje? na kwanini uwafuatilie hao tu wakati umesema hivyo vitu viko kushoto!Si kweli labda nilikua natetea mawazo huru! siwezi tetea iko kitu
Lakin mi kuna wachezaji na wafuatiliaji mpira na ndondi ni mapunga nawajua.
So hiyo si hoja
Mi pia sio mpenzi wa mpira wala haimaanishi kuwa sina qualities za kiume. Ni hobby tu na mipira sina ila ni shabiki mandazi wa SSC
Kwaiyo hata taarifa za habar huwasisikilizi??Umewajuaje? na kwanini uwafuatilie hao tu wakati umesema hivyo vitu viko kushoto!
ha ha haMi pia sio mpenzi wa mpira wala haimaanishi kuwa sina qualities za kiume. Ni hobby tu na mipira sina ila ni shabiki mandazi wa SSC
sipo huko piaTikToker
Sure kwai asilimia 30%I guess you live in your own world surrounded with an imagination things..
Ndo nataka nijue tatizo gan??Shughuri zote zinazo waunganisha vijana wa kiume haupo?Lazima Kuna tatizo?
kutokushabikia mpira,ngumi ,betting ni ugonjwa wa akili???Ni aina ya ugonjwa wa akili pia.
Una miaka mingap??Wewe kama shoga sema tu,sio unaanzia mbali bila sababu za msingi.
Pia si mpenzi wa pombe wala mikutano na watu.Sitaki watu wajue kwangu pia.
Kheeeh hupendi mpiraKheeeh hupendi nyimbo aisee hii ningekushangaa na mm
Ndio mkuu , nivumilie😂😂😂Kheeeh hupendi mpira
Na hata kwenye simu yangu hakuna nyimbo za bongo fleva wala za kizungu. Nyimbo naweza kusikiliza pale ikitoka Tu, lakini sio kudownload na kuendelea kusikiliza.Duuu, kwa hiyo ukipigwa wimbo wa mapozi hauushobokei wala nini?
Na ww nivumilieNdio mkuu , nivumilie😂😂😂
khaaahhNa hata kwenye simu yangu hakuna nyimbo za bongo fleva wala za kizungu. Nyimbo naweza kusikiliza pale ikitoka Tu, lakini sio kudownload na kuendelea kusikiliza.
Nitajitahidi mkuu….maana hatuwezi kufananaNa ww nivumilie