sihitaji kulima mkuu, kama mtu atalima ni yeye ila sio mimi, yeyote atae enda hapo eneo atawaza kitu sahihi kufanya binafsi nataka tu awepo mtu.Nipigie Mkuu. 0621275256. Kwa ajili ya ku-ultilize hilo eneo. Taaluma ya kilimo ninayo, ka-mtaji ninako, ujuzi wa ujasiriamali ninao.
Ukipata kijana ama ukiwa umekosa, nipigie tukawekeze hapo.[emoji1317]
Naomba nitumie Namba YAKO inbox tafadhali.Ila Mkuranga toka niuze kiwanja changu cha Vikindu sipatamani kabisa.
Kibaha, Kisarawe, Chalinze na Bagamoyo ndizo Halmashauri ninazikubali
Okay. Nimekuelewa.sihitaji kulima mkuu, kama mtu atalima ni yeye ila sio mimi, yeyote atae enda hapo eneo atawaza kitu sahihi kufanya binafsi nataka tu awepo mtu.
uko wapi? unaweza ishi mazingira ya mwasonga?Okay. Nimekuelewa.
Hapo nimekuelewa. Kama huduma za jamii zote zipo karibu sawa. Maana umeona wengine wanaulizia kuhusu umeme. Na hapo kama una mpango hakika mtawekana sawa,kama hata ni shughuli zake,ataelekezwa upande upi aanze nao na ni kwa mda gani.Mkuu sio porini kama unavyohisi, Huduma zote muhimu zipo, Mahali kuna maduka na Umeme kwa kutembea kwa mguu ni dk 10.
Kuna zahanati mahali ilipo n dk 10 tu sina mashaka na huduma za jamiii.
Ndio mana unaona sijasema nataka mtu wa kulima nimesema nataka mtu wa kusafisha tu eneo, Kwanini?
Naanza Ujenzi Mkubwa Muda si mrefu kwahyo kile ni kiwanja ila nimepaita shamba kwasbabu n porini, angalia picha juu kuna ambayo nmepost jirani niliepakana nae uone nyumba aliyojenga. Maji kachimba kisima vha mashine kabisa ni 24hrs. (mwenyewe anapaita kwake n Bustani ya Eden)
Naamini ntapata Mtu sahihi maana sio kwamba nabeba beba tu ilimradi mtu.
Halafu watu wanahisi sijui natafuta mkulima kuna kitu naona kama wengine hawajakielewa kabisa.. japo kuna walio elewa nashukru pia.Hio ardhi ni ya mchanga haina kazi kuilima Mimi sioni Kama Kuna kazi kubwa hapo ni kufyeka vichaka kukusanya nyasi kupiga Moto alafu unapitisha jembe kiulaini tu
Nako kunaishi watushamba????
We mwalimu utaweza kuondoka hapo mama john kwelNa ninataka kufuga kiukweli....kuishi porini ni kuzuri sana na kaz yangu hii ya ualimu ni full kufuga tu.Hakuna shule karibu hapo nihamie? Ila bila kuchat nitaweza sasa...umeme😔😪
Nipo uyole mkuu...We mwalimu utaweza kuondoka hapo mama john kwel
We pisi kali utaweza kukaa polini ww... Hizo kucha ndefu utaweza kufyeka vichaka kwelOooh bas sawa, naomba nije mie kukaa hapo.
Ila cocastic nakubali haujawah kumtukana mtu... Yaani hautak shida na mtuNdo nataka nkaishi na basha wangu hapo shamba, tuka enjoy life LA kisarawee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natamani nirud mby maisha simple sana... Juzi Kati wakati nasafiri nikaenda kuagiza msosi hapo stendi ya uyole kwenye hapo kauchochoro. Nimeshangaa nyama choma ugali inauzwa elfu tatu.Nipo uyole mkuu...
Nimechoka na parachichi ndizi
Wacha hizo wewe, hata kushika jembe tu nadhani hujawahi.[emoji23][emoji23][emoji23] naweza eti, c ni life tyuuh.
sio wa mkoa wa pwani maana hawa ndugu zetu ni changamoto sanaMkuu vp ulishapata mtu...kuna ndugu yangu anatafuta nafasi kama hiyo kama bado nikutafute
Sio kushika tyuuh, had kazi itakayoniweka hapo.Utaweza kushika jembe