Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Hapa nimekuelewa, mie nipo tayariii
 
we unaonekana kisirani plus gubu..ngumu sana kuendelea..hutaki jishusha..."ndimgaya sida"
 
We pisi kali utaweza kukaa polini ww... Hizo kucha ndefu utaweza kufyeka vichaka kwel
Jamani cna kucha ndefu, afu nipo kawaida sana na ninaweza kuishi sehem yoyote, mbna fresh tyuuh.

Nimetoka familia ya mkulima.
 
Wacha hizo wewe, hata kushika jembe tu nadhani hujawahi.
[emoji23][emoji23][emoji23] daah mie nimeanza kulima tangu mdogo had sahivi.
Mbna easy kutupa mpini, niko vizurii kazi za shamba.
 
Reactions: EEX
Naomba kujua kuna mademu jirani na shamba?
Maana upweke ukiwa mwingi + bila kuwa na umeme vijana watapata sonona.
Bia au pombe za kienyeji nazo zipo jirani?

Nimeumiza hayo kwa niaba ya vijana..
 
uliniuziUsiseme hivyo mkuu kama Kuna Dili tupeane tu.. Nina mwez sahizi sina ajira nimetimuliwa mwezi huu juzi tu na mwezi uliopita hela ya mtaji nimeizika huko kigamboni.
uliniuzia mashuka..nikajua biashara yako mkuu...jipambanie all the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…