Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Vijana chukueni huo mchongo, acheni umama na umarekani wa kimasikini[emoji41]
Ninakumbuka baada ya kumaliza chuo, nilikosa cha kufanya, nikapata mchongo wa kuwa kijana wa shambani (hekari 500).

Japo hapakuwa na maslahi mazuri ila nilijifunza sana kuhusu kilimo na kumiliki ardhi na namna ya kutunza umiliki wa shamba na mashamba yenyewe.

Sasa hivi nina uthubutu wa kumiliki ardhi na kufanya kilimo peke yangu
 
Ardhi ya Kisarawe ni mali kuliko wilaya zote za Mkoa wa Pwani.

Mwenyewe ninajilaumu kwanini nilienda kununua Vigwaza-Chalinze.

Ukifika pale Kisarawe mjini kuna bango lina tangazo la mashamba ya laki 4.

Nimewahi kuitiwa shamba la laki na 90 huko Kisarawe.

Sijui vijana wanakwama wapi.

Changamoto ni kwamba mashamba kama haya mengine ni bodaboda pekee ama trekta inafika huko.

Ni mpaka uwe na passion na mashamba ndiyo utaona raha yake.
sema changamoto unaweza kununua, later on unaambiwa ni hifadhi ya taifa.

but nimenotice kitu hapa
 
Ninakumbuka baada ya kumaliza chuo, nilikosa cha kufanya, nikapata mchongo wa kuwa kijana wa shambani (hekari 500).

Japo hapakuwa na maslahi mazuri ila nilijifunza sana kuhusu kilimo na kumiliki ardhi na namna ya kutunza umiliki wa shamba na mashamba yenyewe.

Sasa hivi nina uthubutu wa kumiliki ardhi na kufanya kilimo peke yangu
Huyu kaja na story kabisa ya kusikitisha😂😂😂😂.
 
Ardhi ya Kisarawe ni mali kuliko wilaya zote za Mkoa wa Pwani.

Mwenyewe ninajilaumu kwanini nilienda kununua Vigwaza-Chalinze.

Ukifika pale Kisarawe mjini kuna bango lina tangazo la mashamba ya laki 4.

Nimewahi kuitiwa shamba la laki na 90 huko Kisarawe.

Sijui vijana wanakwama wapi.

Changamoto ni kwamba mashamba kama haya mengine ni bodaboda pekee ama trekta inafika huko.

Ni mpaka uwe na passion na mashamba ndiyo utaona raha yake.
Kama una hela kanunue mkamba Kuna sehem inaitwa mtembela
 
Ardhi ya Kisarawe ni mali kuliko wilaya zote za Mkoa wa Pwani.

Mwenyewe ninajilaumu kwanini nilienda kununua Vigwaza-Chalinze.

Ukifika pale Kisarawe mjini kuna bango lina tangazo la mashamba ya laki 4.

Nimewahi kuitiwa shamba la laki na 90 huko Kisarawe.

Sijui vijana wanakwama wapi.

Changamoto ni kwamba mashamba kama haya mengine ni bodaboda pekee ama trekta inafika huko.

Ni mpaka uwe na passion na mashamba ndiyo utaona raha yake.
Si unaweza kununua tena jingine huko ukawa na mawili? Au ukauza hilo la Chalinze na kwenda kununua huko.
 
Mkuu, utaniruhusu kufanya shughuli zangu nyingine...? Nje ya mji...? Maana mimi ni boda boda ila kupitia hapo nimeona kuna fursa ya kilimo ambacho tunaweza kufanya hata kulima mahindi... ukasponsor tukagawana.

Inshort napenda sana kilimo kama upo seriously naomba tuwasiliane .​
Mkuu karibu kama utaishi hapo sina mashaka wala sina kikwazo.

Nipo tayari kukusaidia ufanye utakacho sina limit nahtaji tu eneo likae safi na sio vichaka vichaka.

Ufugaji una baraka zangu zote hata kilimo pia japo mimi na kilimo hapana ila kwa yeyote atakae kaa hapo ruksa kufanya apendacho.
 
Back
Top Bottom