Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Mimi sasa ndio nipo serious zaidi yako hadi nimefungua UZI unahisi nani kamzdi mwenzake u serious?

Solar tutatumia ya jirani bwana aaah hutaki kujipendekeza kwaniii kwa wenyeji wakooo😂
Jirani mwenyewe anaonekana mchoyo tu huyo😏 kaenda kujikalia mbaliii
 
Na ninataka kufuga kiukweli....kuishi porini ni kuzuri sana na kaz yangu hii ya ualimu ni full kufuga tu.Hakuna shule karibu hapo nihamie? Ila bila kuchat nitaweza sasa...umeme😔😪
shule ipo/zipo primary na sec shuleni kule umeme mwingi sanaa...

Kutoka shamba hapo na dukani kununua vitu ambapo kuna umeme n mwendo wa dk 10 tu unafika eneo umeme umeishia... Japo kule utachat na kuku wako tu sio binadamu
 
shule ipo/zipo primary na sec shuleni kule umeme mwingi sanaa...

Kutoka shamba hapo na dukani kununua vitu ambapo kuna umeme n mwendo wa dk 10 tu unafika eneo umeme umeishia... Japo kule utachat na kuku wako tu sio binadamu
U mean there's no networks?
 
Shamba lipo hapo Wilaya ya Kisarawe. Majukumu ya kijana ni kuweka mazingira sawa, kulima na kuhakikisha majani hayaoto kwenye shamba husika.

Shamba ni la heka 2, halijapandwa zao lolote lina majani. Kuna nyumba katikati ya shamba ambayo ndio makazi ya kijana husika.

Nyumba imekamilika inayofaa kuishi binadamu aliekamilika.

Chakula: Juu yangu muajiri
Mshahara: Makubaliano

View attachment 2813408View attachment 2813408

Picha hapo Juu ni nyumba iliyo Shamba.

Nimeipiga picha nikiwa shamba/kiwanja cha jirani ambae yeye tayari kwake ni kusafi. Ukiangalia hiyo picha kuna eneo halina majani hapa mwanzo, hiki ni kiwanja/shamba cha mtu mwingine yeye kashajenga shamba lake safi kiwanja kimenyooka kama Azam Complex.

Na Kijana ninae mtaka ndio nataka aondoe ile nyumba kutoka kati kati ya majani alime kote kipatikane kiwanja kisicho na majani Nyumba ikae hapo kati. Jukumu kubwa ni hilo usafi wa kiwanja muda wote jani lisiote hata 1.

NOTE: Akitokea mtu na familia yake anataka kukaa huku anakaribishwa, mshahara tutakubaliana, chakula juu yangu muajiri. Ruksa ukitaka kulima, ruksa ukitaka kufuga, ruksa kufanya chochote.

Muhitaji alie serious tu karibu inbox.
Mkuu tafuta mtu mzima wa miaka 45 hadi 60 kamwe auta juta ata kama akiwa mlevi au asiwe maana wanafanya kazi kwa bidi pia wanajali
Mimi kwenye shamba langu nimeweka Mzee wa miaka 62 Yani atujawai gombana ata siku Moja maana anaona umli umemtupa pia ana kwa kwenda lakini kwa vijana Yani bado nafasi zipo ivyo kidogo tuu anataka kuondoka
 
Mkuu tafuta mtu mzima wa miaka 45 hadi 60 kamwe auta juta ata kama akiwa mlevi au asiwe maana wanafanya kazi kwa bidi pia wanajali
Mimi kwenye shamba langu nimeweka Mzee wa miaka 62 Yani atujawai gombana ata siku Moja maana anaona umli umemtupa pia ana kwa kwenda lakini kwa vijana Yani bado nafasi zipo ivyo kidogo tuu anataka kuondoka
Nakubaliana sana na wewe,kuna mtu namtafuta n kijana sio mzee ila ni mtu ana familia yake nilimpaga kazi ya kuchimba kisima kule shamba hakika alinifaa yule baba/kaka. Alidiriki niambia nimpangie aishi kule.

Kipindi hicho sikua na project yoyote kule nikawa naona uvivu ila namtafuta sana kwasasa unachokisema nimekithibitisha.

ishu ni wapi pa kupata huyo/hao watu sasa Mkuu.
 
Tunakujua wewe... Ule mzigo wako bandari ushauklia?. Lile vanguard lako nasikia umelihonga.. Ile bilion saba ulitowekeza pale exim mwaka huu ni miaka mingapi vile?

NB: kufanya kazi chini ya tamisemi isiwe kigezo cha kujiona tajiri. Ni upupu tu
😄😄😄😄 Tulia hapo hapo boss akuwekee umeme uje uchaji simu yako,sawa fogo?
 
Back
Top Bottom