Kijana wa miaka 15 aishi miezi 10 bila kula wala kunywa chochote

Kijana wa miaka 15 aishi miezi 10 bila kula wala kunywa chochote

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.

Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.


Ngumu kumesa.
Mwili unarutubishwa na kinachingia mdomoni, yeye kijana anarutubishwa na hewa?
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.

Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.

...Haendi k.u.n.y.a ?...
 
Mwenye Enzi Mungu ana miujiza yake mingi sana kwetu walahi [emoji3590]
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.

Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.


Tutaamini vp
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.

Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.


Toa ujinga wako hapa ,, hivi akili hamna hata kufikiria tu?? Au shuleni huko mlienda kusomea ujinga?? Njaa ya siku mbili tu mtu unakuwa unahisi kizunguzungu
 
Nawashangaa watu wanaopinga bila hoja. Badala ya kukazana kusema haiwezekani, ingelikuwa bora kuuliza ilivyowezekana. Hakuna mtu anayejua kila kitu.
 
Watu wa pembe ya Africa, Djibout, Ethiopia, Somalia, Chad wajifunze kwa huyu jamaa. Waache kulialia.
 
Back
Top Bottom