Kijana wa miaka 15 aishi miezi 10 bila kula wala kunywa chochote

Kijana wa miaka 15 aishi miezi 10 bila kula wala kunywa chochote

Chad ipo pembe ya Afrika?Ramani zinabadilishwa kila kukicha?
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.

Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.

Tunajua Tahajudi ina nguvu lakini kutokula Kwa huo muda na ameumbwa ili aishi ni lazima ale basi hapa kuna uongo, Tahajudi ina power kubwa kiroho, lakini kimwili ili kiumbe hai kwa mfano wa mwanadamu kiweze kuishi ni lazima kile chakula, nje na hivyo anakufa, so hapa hakuna ukweli
 
Back
Top Bottom