Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Ngumu kumesa.Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.
Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.
...Haendi k.u.n.y.a ?...Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.
Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.
Mshelishelini kwa wapembamshelishelini mzee, 520
Siku 4, kila baada ya miezi mitatu huwa naupumzisha mwili na simu. Ninakaa siku 4 nafunga simu, sili wala sinywi usiku na mchanaWw unaweza kukaa muda gn bila kula wala kunywa.?
Sasa kuna mtu anaweza kukaa miezi 10.?Siku 4, kila baada ya miezi mitatu huwa naupumzisha mwili na simu. Ninakaa siku 4 nafunga simu, sili wala sinywi usiku na mchana
Tumetofautiana maarifa broSasa kuna mtu anaweza kukaa miezi 10.?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata nyeto hapigi?
Mbona video ipo?
CCM tunafanya kazi kwa bidii
Tutaamini vpUkistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.
Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.
Toa ujinga wako hapa ,, hivi akili hamna hata kufikiria tu?? Au shuleni huko mlienda kusomea ujinga?? Njaa ya siku mbili tu mtu unakuwa unahisi kizunguzunguUkistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni. Kijana wa miaka 15 amekaa akifanya tahajudi kwa zaidi ya miezi kumi bila kula wala kunywa chochote.
Kijana huyo ameendelea kuwa hai licha ya kutokula chochote kwa muda wote huo, na ameonekana mara kadhaa akitokwa na jasho jingi.
Asante mwenye akiliToa ujinga wako hapa ,, hivi akili hamna hata kufikiria tu?? Au shuleni huko mlienda kusomea ujinga?? Njaa ya siku mbili tu mtu unakuwa unahisi kizunguzungu
Kala nn sasa? Hadi anye?...Haendi k.u.n.y.a ?...