min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Na mtoto hawezi fanana na wewe 90% kama hauna sura ya hivi.mara nyingi genetics hua haingopi ukiona mtoto hafanan na baba au mama 90% umepigwa
nenda kafanye DNA test haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mtoto hawezi fanana na wewe 90% kama hauna sura ya hivi.mara nyingi genetics hua haingopi ukiona mtoto hafanan na baba au mama 90% umepigwa
nenda kafanye DNA test haraka
Duh hili binti litamtesa maisha yake yoote, sawa walitaka kumlipa laki 8 yake,je vi na muda alioupoteza qatamlipa??
Ukiona mke wako kila saa anasema yani ka junior kamefanana na baba yake mara yani "huyu ni baba yake mtupu" jua kuna kaharufu ka kupigwa Braza .kwann walikuwa hawasemi mapema
Lakini naye mbaga alikuwa haoni sura siyake kwa mtoto huyo
badala ya kusema warudishe Hela waombwe warudishe uhai wa marehemu
Wazazi ndo wàlitumia busara baada ya binti yao kukiri mimba alipewa na mwanaume mwingine wakaamua kutafuta suluhu. Binti angewaambia wakati wa mimba nadhani pia wangemtaarifu huyu marehemu.Duuuhhh . Kwanini hawakumwambia mapema kwamba mtoto sio wake tangu akiwa tumboni?
Mtoto hana shida, shida ipo kwa mama, alafu shida kubwa ilikua kwa mwanaume.Wanasemaga mtoto wa njee wa mwanaume anasaidia sana
Na kweli mtoto lazima afanane na baba yake kwa 80 la sivyo unakuwa umepigwamara nyingi genetics hua haingopi ukiona mtoto hafanan na baba au mama 90% umepigwa
nenda kafanye DNA test haraka
wazazi hawana busara hao ilitakiwa wamwambie jamaa akapime d.n.a kujithibitishiaWazazi ndo wàlitumia busara baada ya binti yao kukiri mimba alipewa na mwanaume mwingine wakaamua kutafuta suluhu. Binti angewaambia wakati wa mimba nadhani pia wangemtaarifu huyu marehemu.
Mabinti acheni tamaa.
Sio dogo linaumiza umelea mimba umejitoa sadaka kwa mambo mangapi ili mtoto na mama wawe na afya mkuu inaumiza kuna muda mwanaume unaamua kuyavaa madeni ili kuweka mazingira ya familia safe kazini unapambana ukijua nyumbani nimea acha watu wawili wana niangalia mimi nikizembea tu nawaangushaMtoto hana shida, shida ipo kwa mama, alafu shida kubwa ilikua kwa mwanaume.
Unajiuaje kwa jambo dogo kama hili?
hata tusimlaumu, roho ya mauti ikikuambata yeyote anaweza kufanya lolote, hata kama hangejinyonga ila as long as roho ya mauti ilikuwa inamwandama, angekufa kwa kingine hata ajali tu. Uzuri uliopo ni kwamba, Yesu Kristo alikufa, akazikwa, siku ya tatu akafufuka kwa kuishinda mauti, uwapo uchungu wako ewe mauti, Yesu Kristo ana nguvu kuliko mauti yeyote ile, Yesu KRisto anao uwezo kureverse mauti yeyote, Yesu Kristo, ukisoma Isaya 53 inasema alipigwa na kuuawa badala yetu, chochote alichofanyiwa, ilikuwa kwa niaba yetu kwa ajili ya kutukomboa sisi toka kwenye hiyo hali.JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE
Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.
Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.
Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.
Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.
Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.
Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.
🎥
✍️
View attachment 3234433
unaweza usifanane na mzee wako ila ukafanana na watoto wa ba mkubwa ama mdg au watoto wa wajomba zakoNa kweli mtoto lazima afanane na baba yake kwa 80 la sivyo unakuwa umepigwa
Kwanini ajiue sasa? Kama wanaume hili tulikatae kwenye vikao vyetuSio dogo linaumiza umelea mimba umejitoa sadaka kwa mambo mangapi ili mtoto na mama wawe na afya mkuu inaumiza kuna muda mwanaume unaamua kuyavaa madeni ili kuweka mazingira ya familia safe kazini unapambana ukijua nyumbani nimea acha watu wawili wana niangalia mimi nikizembea tu nawaangusha
Kwa kifungu kipi bro?Uyo mwanamke afunguliwe kesi ya utapeli na mauaji.
mimi huwa nashangaa mtoto kazaliwa tu unaanza ambiwa kafanana na babake wakat hata mtoto sura bado ijatengemaa vyemaUkiona mke wako kila saa anasema yani ka junior kamefanana na baba yake mara yani "huyu ni baba yake mtupu" jua kuna kaharufu ka kupigwa Braza .
Wa nje sawa anasaidia,lakini hakikisha iwe damu yako,isipokua damu yako kuna siku atakuchenjia na hutaamini!!Wanasemaga mtoto wa njee wa mwanaume anasaidia sana
Huo ni upigaji wa wazi wanawake wanaokazia hilo kuna namna wanaujua ukweli au hana uhakika matokeo ni ya nanimimi huwa nashangaa mtoto kazaliwa tu unaanza ambiwa kafanana na babake wakat hata mtoto sura bado ijatengemaa vyema