Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Washenzi hawa wanafikiri issue ni pesa. kuna emotional attachment kati ya Baba na huyo mtoto ambayo ndio ndio inawezekana ilimuumiza jamaa zaidi. Ila vijana wa sasa wana low EQ.
Hakika..!
Vijana wa kiume wa sasa hawana tena kitu UJASIRI.
Hali ambayo inawafanya wajiue pale wanapokabiliwa na changamoto za kawaida za kimaisha.
Kuna mwingine tena juzi kati hapa kajiua nakuacha mke na mtoto mchanga kisa tu anadaiwa Tsh. Elfu sitini!!

Ninadhani hali hii inachangiwa pia na vijana wengi kulelews na mama pekee bila baba.
 
Ila wanawake watakuja kutuua tuishe wote. Amembambikizia mimba jamaa.... Jamaa kailea, kalea na mtoto halafu anakuja kuambiwa chukua 850k yako mtoto si wako 🙌

Hapo ukute baba halisi wa mtoto kapata maisha sasa kamwambia binti achana na huyo fala njoo ule maisha huku kwangu
Mama mkwe akili hana anaonekana anaendekeza tamaa badala ya kutumia busara.
 
Haahh sawa tutakunywa

Kuna jamaa alizaa mtoto wa njee akawa analinga umri na mtoto wa ndani ya ndoa sasa wale watoto wakawa wanasoma shule moja bila kujuana mkubwa ambaye ni wa ndani ya ndoa akasikia kuna mtoto mwingine wanafanana majina ya mwisho akamfwata kumuuliza yule mtoto we jina lako nani akamtajia majina yote akamuuliza baba yako anafanya kazi wapi akamwambia sehemu ambayo baba yake anafanya kazi alipo rudi nyumban yule mtoto aka mwambia mama yake palinuka nakwambia
Mtoto mbeya huyo🤣
 
JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE

Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.

Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.

Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.

Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.

Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.

Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.

🎥
✍️

View attachment 3234433
Wengine tumesha kua IMMORTAL/ HEARTLESS.

POLE KWA FAMILIA WANAWAKE WAPO WENGI SANA KWANINI KIJANA UJIUE..

POLE SANA KWA NDUGU ,JAMAA,MARAFIKI, MAJIRANI
 
Ila wanawake watakuja kutuua tuishe wote. Amembambikizia mimba jamaa.... Jamaa kailea, kalea na mtoto halafu anakuja kuambiwa chukua 850k yako mtoto si wako 🙌

Hapo ukute baba halisi wa mtoto kapata maisha sasa kamwambia binti achana na huyo fala njoo ule maisha huku kwangu
Kikubwa ni kujipenda kwanza mwenyewe/ opendo kwa mwenza usiwe too much penda kwa kiasi/ Mimi hata nisinge shituka ni kama angekua kampiga chura teke..ni kumuongezea mwendo.
 
Kama pesa zangu zinarejeshwa,naanza vipi kuchukua maamuzi ya kijinga vile tena umri wenyewe bado kabisa.
 
Ila Just naye amezingua,anakufaje kiboya hivyo na umri wake bado unaruhusu sana,kwanza alitakiwa ashukuru kwa kuujua ukweli.

Ndio shida ya kukaa na kitu moyoni bila kushirikisha watu kabla haujafanya maamuzi
 
Hii ni Sawa na ile umemsomesha binti miaka yote ukiamini utamuona, halafu baadaye anakuambia amempata anayempenda Mwingine!

Hapo ulichukua Sheria mkonono sio dhambi!

Hii itabia ndiyo iliyosababisha kuyumba kwa "taasisi ya ndoa" wanawake wanachukulia ndoa kama fursa ya kiuchumi!
 
Wazazi ndo wàlitumia busara baada ya binti yao kukiri mimba alipewa na mwanaume mwingine wakaamua kutafuta suluhu. Binti angewaambia wakati wa mimba nadhani pia wangemtaarifu huyu marehemu.
Mabinti acheni tamaa.
Marehemu alipaswa kuchukua pesa na kisha kumkata kichwa huyo dada kabla ya yeye kujiua
 
Back
Top Bottom