Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ndoa ikwapi hapo? Wahuni wawili wamezalishanaKataaa ndoa 5
Kubali ndoa 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa ikwapi hapo? Wahuni wawili wamezalishanaKataaa ndoa 5
Kubali ndoa 0
ukianza kuzungumzia ndoa bac ni chache mno % kubwa watu wanazalishana kiholelaNdoa ikwapi hapo? Wahuni wawili wamezalishana
wamekatisha uhai wa mtuWanawake hawa kenge kabisa
Ukiingia kichwa kichwa lazima upigwewamekatisha uhai wa mtu
Hao kataa ndoa waulize vizuri. Wana watotoukianza kuzungumzia ndoa bac ni chache mno % kubwa watu wanazalishana kiholela
Watu wanapiga kelele humu ndani about single mums bado watu hawaelewiMwenye mtoto kaja, hii ndo tafsiri ya single Mama
Yeah watoto muhimu mkuuHao kataa ndoa waulize vizuri. Wana watoto
hasa kwenye kuoa hawa masingle mazaUkiingia kichwa kichwa lazima upigwe
Inasikitisha Sana kina Mbaga wengi wanateswa na Mapenzi.Ajali kazini 😂
Wanyalu kwa kupenda sifa, yaani amejinyonga ili iweje?JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE
Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.
Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.
Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.
Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.
Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.
Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.
🎥
✍️
View attachment 3234433
Ili afeWanyalu kwa kupenda sifa, yaani amejinyonga ili iweje?
So sad, na hao wazazi wa binti ni hamnazoIla wanawake watakuja kutuua tuishe wote. Amembambikizia mimba jamaa.... Jamaa kailea, kalea na mtoto halafu anakuja kuambiwa chukua 850k yako mtoto si wako 🙌
Hapo ukute baba halisi wa mtoto kapata maisha sasa kamwambia binti achana na huyo fala njoo ule maisha huku kwangu
Wapuuzi hao ukute mwenye bao alikula kina so wakaona Bora wakomae na marehemu sasa huenda Baba halisi kajitokeza wameamua sasa wamwambie ukweli na wamlipe. WANAWAKE NI MATAPELIkwann walikuwa hawasemi mapema
Lakini naye mbaga alikuwa haoni sura siyake kwa mtoto huyo
badala ya kusema warudishe Hela waombwe warudishe uhai wa marehemu
Na hapa mama na binti Yake lao mojaMwenye mtoto kaja na ndo katoa hizo gharama, hawa ndo single Mama kwa tafairi pana!