KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #81
Zuzumagic wa mapenziWengine tumesha kua IMMORTAL/ HEARTLESS.
POLE KWA FAMILIA WANAWAKE WAPO WENGI SANA KWANINI KIJANA UJIUE..
POLE SANA KWA NDUGU ,JAMAA,MARAFIKI, MAJIRANI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zuzumagic wa mapenziWengine tumesha kua IMMORTAL/ HEARTLESS.
POLE KWA FAMILIA WANAWAKE WAPO WENGI SANA KWANINI KIJANA UJIUE..
POLE SANA KWA NDUGU ,JAMAA,MARAFIKI, MAJIRANI
Hata spiritual strength hawanaWashenzi hawa wanafikiri issue ni pesa. kuna emotional attachment kati ya Baba na huyo mtoto ambayo ndio ndio inawezekana ilimuumiza jamaa zaidi. Ila vijana wa sasa wana low EQ.
Huyu hamna ku rest in peace, huyu akifika huko aendako afue sanda za wenzake wote aliowakutaUnajinyonga alafu iwe nini, anyway rest in peace champ.
Mtoto aliyelelewa (hasa wa kiume)na mama pekee yake bila baba au ndugu wa kiume kwa asilimia kubwa huwa anaiga uhusika wa kiuanamke. Mwanamke hutegemea zaidi hisia kuliko uhalisia!Ninadhani hali hii inachangiwa pia na vijana wengi kulelews na mama pekee bila baba.
Una maana kila kitu alicha mfanyia mtoto Alikuwa ana record Huyo mwanamke? Akimnunulia nguo anauliza ni bei gani, akileta sukari anauliza...........Duh hili binti litamtesa maisha yake yoote, sawa walitaka kumlipa laki 8 yake,je vi na muda alioupoteza qatamlipa??
Kikubwa ni kuishi pamoja ukianza kufuatilia hivyo bac ni wachache wenye ndoaHakuwa na ndoa huyu lakini!
Mkuu kuna mapigo mengine mwanamke akikuwahi anaweza kukuumiza sema bwana mdogo aliingia kichwa kichwa na ukiingia kichwa kichwa lazima upigweHata nipigwe na maisha vp siwezi kujitoa uhai 😂
Ubapa wa panga ungehusu ukoo mzima😀😀😀😀😀Ila wanawake watakuja kutuua tuishe wote. Amembambikizia mimba jamaa.... Jamaa kailea, kalea na mtoto halafu anakuja kuambiwa chukua 850k yako mtoto si wako 🙌
Hapo ukute baba halisi wa mtoto kapata maisha sasa kamwambia binti achana na huyo fala njoo ule maisha huku kwangu
Tumeanza mapenzi tukiwa vidudu huko...uhuni mpaka umri huu..Ubapa wa panga ungehusu ukoo mzima😀😀😀😀😀
Na laki nane nachukua...
Hata ukiwa malaya kiasi gani kutatokea mmoja ambaye moyo wako utamchagua alafu wewe mwenyewe utashangaa hata imekuwaje kuwaje ukamchagua........Jitahidi uwe malaya kidogo ili siku yakikukuta usijiue bali ujipigepige kifua
Ninachojua GENTAMYCINE ni kwamba 85% ya Wanaume nchini (Mimi wala simo) wanalea 'Mabao' ya Wanaume wenzao.JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE
Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.
Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.
Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.
Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.
Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.
Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.
🎥
✍️
View attachment 3234433
Wanawake hawa kenge kabisaKumbe halikuwa bao la jastin