Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

📌📌📌MSISTIZO NI KUWA KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!

MALIMBUKENI WA MISAMBWANDA NA NGOZI NYEUPE MTAENDELEA KUFA TU,HAKUNA NAMNA🤝

📌DUNIA IKO NA FURAHA MPUMBAVU NA MJINGA MMOJA AMEJIPUMZISHA🤗
 
Leo Lissu kaongea.
Unakumbuka aliwahi kusema ataweka nafasi Kamati Kuu kwa Justine Case?
 
Sio dogo linaumiza umelea mimba umejitoa sadaka kwa mambo mangapi ili mtoto na mama wawe na afya mkuu inaumiza kuna muda mwanaume unaamua kuyavaa madeni ili kuweka mazingira ya familia safe kazini unapambana ukijua nyumbani nimea acha watu wawili wana niangalia mimi nikizembea tu nawaangusha
Fanyeni vitu KWA KIASI acheni ufala,mnakazi ya kulalama hovyo pumbavu.

Kujitoa umejitoa vipi kama ungetaka kujitoa zaidi basi huyo fala na wanaume ambayo ni weak wabebe mimba ili tujue wanauchungu sana pumbavu.

Fanyeni vitu kwa kutumia akili mtaendelea kufa kama kumbikumbi bladiful na hakuna kesi yoyote hapo huyo malaya atadunda mtaani na atatafunwa kama kawaida.

📌📌📌WEAK MEN MUST PERISH,NO ROOM FOR BLANDERS LIKES THIS IN A MANS LIFE!!!
 
Fanyeni vitu KWA KIASI acheni ufala,mnakazi ya kulalama hovyo pumbavu.

Kujitoa umejitoa vipi kama ungetaka kujitoa zaidi basi huyo fala na wanaume ambayo ni weak wabebe mimba ili tujue wanauchungu sana pumbavu.

Fanyeni vitu kwa kutumia akili mtaendelea kufa kama kumbikumbi bladiful na hakuna kesi yoyote hapo huyo malaya atadunda mtaani na atatafunwa kama kawaida.

📌📌📌WEAK MEN MUST PERISH,NO ROOM FOR BLANDERS LIKES THIS IN A MANS LIFE!!!
Matusi hayo una mtukana nan?
 
Kuna kipindi nilitaka kujiua kisa nimeachwa na mpenzi wangu,nilikaa na msongo wa mawazo takribani 7days akili ilipokaa sawa,nikajiona ni mpumbavu haiwezekan nife kwa ajiri ya nyapu! Na kukaa na mpenzi mmoja inawafanya vijana wengi wajiue linapokuja suala kuwa wameachwa. Hao wazazi wa binti wampeleke huyo mtoto kwa babake na sheria ichukue mkondo wake. APUMZIKE KWA AMANI ila amefanya maamuzi ya kipuuzi mno
Huyo malaya wako alikuwa anakumix kwa yas mpaka akuchanganye hivyo au ni USHAMBA WA KUGEGEDA unawasumbua nyie watoto??!!!
 
Njombd kwenye 1 & 2.

Dogo ni mpumbavu, unajuaje na gharama zako unarudishiwa na hiyo mbunye kuendelea au kutoendelea kuichakata ni maamuzi yako tu.
 
hata tusimlaumu, roho ya mauti ikikuambata yeyote anaweza kufanya lolote, hata kama hangejinyonga ila as long as roho ya mauti ilikuwa inamwandama, angekufa kwa kingine hata ajali tu. Uzuri uliopo ni kwamba, Yesu Kristo alikufa, akazikwa, siku ya tatu akafufuka kwa kuishinda mauti, uwapo uchungu wako ewe mauti, Yesu Kristo ana nguvu kuliko mauti yeyote ile, Yesu KRisto anao uwezo kureverse mauti yeyote, Yesu Kristo, ukisoma Isaya 53 inasema alipigwa na kuuawa badala yetu, chochote alichofanyiwa, ilikuwa kwa niaba yetu kwa ajili ya kutukomboa sisi toka kwenye hiyo hali.

Ushauri kwenu, kama hauna Yesu Kristo moyoni, okoka haraka, ili Yesu akuponye na mauti, akuepushe na mauti, au la, wewe binafsi utapambana na mauti na hautashinda, na elewa kwamba, kwa uwezo wako hautaishinda mauti, anahitajika yeye aliyeishinda mauti, ndiye Yesu Kristo mnayemkataa. Mungu awasaidie.
Jifunze kujenga hoja acheni kutafuta VICHAKA VYA KUTETEA UZWAZWA. ROHO YA MAUTI NDO NINI???

📌📌📌Use your brain,stop this religious MADNESS!!!
 
Poleni.Ila ametuangusha sana Wapare.Ana H za kutosha kwenye vikao vyetu vya kimbaga
JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE

Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.

Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.

Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.

Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.

Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.

Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.

🎥
✍️

View attachment 3234433
 
JUSTINE AMEFARIKI BAADA KUAMBIWA MTOTO SI WAKE

Mwili wa kijana Justine Mbaga mwenye umri wa miaka 28 ambaye amefariki dunia jana Februari 11,2025 ikidaiwa ni kwa kunywa sumu baada ya kupewa taarifa kuwa mtoto aliyekuwa anamhudumia si wake, umezikwa leo katika makaburi ya Magegele yaliyopo Halmashauri ya mji Makambako.

Taarifa zinaeleza kuwa siku ya jumapili Februari 9,2025 familia ya binti ya aliyekuwa naye kwenye mahusiano walimwita Justine Mbaga, na familia yake na kumweleza kuwa mtoto ambaye alikuwa anamlea si wake, jambo ambalo lilipelekea kuathirika kisaikolojia na kuchukua uamuzi huo.

Baadhi ya majirani wa Justine Mbaga wamesema kifo cha mpendwa wao kimewaacha na majozi mazito kwani alikuwa ni kijana mwenye maadili mema.

Ratifa kibiki ni, mama mzazi wa binti mwenye mtoto huyo anayedhaniwa ni mtoto wa Justine Mbaga akizungumza na El olama fm amesema waliamua kumuita Justine Mbaga na Familia yake na kuwaeleza kuwa mtoto huyo si wao kwani aliona si busara Justine aendelee kulea mtoto ambaye si wake.

Aidha Mama huyo amesema binti yake alikuwa tayari kurejesha gharama za matunzo ambazo Justine Mbaga alizitumia kumlea mtoto huyo ambazo ni 850,000/=.

Diwani wa kata ya kitisi Nevy Sanga na mtendaji wa mtaa wa Kisingire,wameiasa jamii iache tabia ya kuchukua sheria mkononi hasa inapojitokeza changamoto yoyote kwenye maisha.

🎥
✍️

View attachment 3234433
Hivi vifo vichunguzwe. .......vifo hivi vimekaa kimchongo sana.

TAarifa ndefu lakini iko hivi?
1. Haijasema Marehemu kafia wapi, kwake, porini
2. Nini kimewafanya wajue kama kanywa sumu? Alikunywa sumu au kanyweshwa sumu?
3. Taarifa ya kipolisi iko wapi?
4. Kwanini anatajwa Bibi wa Mtoto na Sio Mama wa Mtoto kama taarifa zingine zinavyokuwa zinazofanana na hizi?

Tunapigwa hapa
 
Hakika..!
Vijana wa kiume wa sasa hawana tena kitu UJASIRI.
Hali ambayo inawafanya wajiue pale wanapokabiliwa na changamoto za kawaida za kimaisha.
Kuna mwingine tena juzi kati hapa kajiua nakuacha mke na mtoto mchanga kisa tu anadaiwa Tsh. Elfu sitini!!

Ninadhani hali hii inachangiwa pia na vijana wengi kulelews na mama pekee bila baba.
📌📌HAWA BROILLERZZ WA SINGO MAZAZZZ MUST DIE!!!

HIKI KIZAZI ILI KIPONE HAWA KENGE WALIOPO KWENYE MSAFARA WA MAMBA THEY MUST BE SELECTED AND ELIMINATED,TUNASHUKURU NATURE KWA KUWAELIMINATE PERMANENTLY🤗🤗🤗
 
marehemu nae mpumbavu tu
asa kuambiwa mtoto sio wako ndo ujiue

ye angetulia na kupambana juu chimi azae na ndugu wa iyo familia

uyo mama mkwe anarahisisha tu kurejesha gharama,hajui mtu kajitoa kiasi gani
Au aoe kabisa au azalishe zaidi ya mmoja. Marehemu kazingua saana
 
Acheni kujiendekeza uache kuwapenda waliokuhangaikia kufika hapo ulipo umpende malaya mmoja mliokotana barabarani.


📌📌📌Hivi humo kwenye mibichwa yenu kuna FUNZA???!!!
 
Naomba Nisamehewe sitaki kusikia single maza maisha yangu yote kuna mdau kasema hapo 🤞huenda jamaa aliyemzalisha kajipata
 
Jitahidi uwe na watoto 10 nje, kila mmoja na mama yake;hutoteseka
 
Back
Top Bottom