Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Mtu anapofikia hatua ya kujiua it means huyo mtu kisaikolojia alikuwa ameathirika, ndio maana mara zote tunashauriwa ukiwa na jambo gumu linalokuumiza sana tafta mtu sahihi wa kumweleza kuliko kukaa nalo na kuumia ndani Kwa ndani, lakini pia tunapaswa kujua kuwa Kila jambo linatokea kwa sababu ,Kuna maisha mengine baada ya Leo. naumia sana kuona wanaojiua ni vijana it means vijana tumekosa positive mind, Tujifunze kujicontrol Tusiruhusu kutawaliwa na hisia na mihemko zaidi katika utatuzi wa jambo haijalishi umekutana na jambo gumu kiasi Gani. Siku zote hisia zikiwa juu uwezo wa ubongo kufikiri na kufanya maamuzi sahihi hushuka. Hivyo Tujifunze kujibalance tukiwa na furaha Sanaa au tukiwa na hasira sana, tutaishi kuna nafasi ya kurekebisha makosa ukiwa hai kujiua niuvivu wa kufikiri na kuona Kila kitu hakiwezekani.
 
Mtu anapofikia hatua ya kujiua it means huyo mtu kisaikolojia alikuwa ameathirika, ndio maana mara zote tunashauriwa ukiwa na jambo gumu linalokuumiza sana tafta mtu sahihi wa kumweleza kuliko kukaa nalo na kuumia ndani Kwa ndani, lakini pia tunapaswa kujua kuwa Kila jambo linatokea kwa sababu ,Kuna maisha mengine baada ya Leo. naumia sana kuona wanaojiua ni vijana it means vijana tumekosa positive mind, Tujifunze kujicontrol Tusiruhusu kutawaliwa na hisia na mihemko zaidi katika utatuzi wa jambo haijalishi umekutana na jambo gumu kiasi Gani. Siku zote hisia zikiwa juu uwezo wa ubongo kufikiri na kufanya maamuzi sahihi hushuka. Hivyo Tujifunze kujibalance tukiwa na furaha Sanaa au tukiwa na hasira sana, tutaishi kuna nafasi ya kurekebisha makosa ukiwa hai kujiua niuvivu wa kufikiri na kuona Kila kitu hakiwezekani.
 
Mpumbafu sana wache afe kwa ujinga wake weenzie tukiambiwa huyu si wako hatupaniki hata kidg tunatulia hata kama ulikua unatoa huduma unazaa na mdg wake mwingine mtoto alafu unamwachia mwanae
Akufwe kabisa, mumbwa jijibwa kabisa
 
Ukiona mtu anajiua kisa mapenzi huwa ana matatizo binafsi ulevi wa mapenzi ni kifo ukiwa hai
 
Ko huyo binti, baada ya kupata bwana Fogo muuza Mbao, ndo wakaamua wamkatae kibingwa kaka Justine?

Hii itawagharimu hapo baadae, watake, wasitake.
Karma itawarudia tyuuh.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ila wanawake watakuja kutuua tuishe wote. Amembambikizia mimba jamaa.... Jamaa kailea, kalea na mtoto halafu anakuja kuambiwa chukua 850k yako mtoto si wako [emoji119]

Hapo ukute baba halisi wa mtoto kapata maisha sasa kamwambia binti achana na huyo fala njoo ule maisha huku kwangu
Una kitu, utafika mbali.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja kwanza ninywe pafu moja la safari larger afu niwaletee kisa changu nilikuwa mzee wa kuacha acha basi kubaki mwaka 2021 nikapata binti nikasema napiga naacha,

What a big mistake badala ya kumuacha ndo nikaZidi kupenda🙌mpaka akaniacha mwenyewe
Hata ukiwa malaya kiasi gani kutatokea mmoja ambaye moyo wako utamchagua alafu wewe mwenyewe utashangaa hata imekuwaje kuwaje ukamchagua........

Alafu sasa kwa bahati mbaya yeye hana hata time na wewe......

Na ndio mateso yanapoanzia.....
Mapenzi hayana mwenyewe omba Mungu tu usinase.....

Wote wanaopigania mapenzi sio kwamba hawana wapenzi wengine bali wamekwama....
 
PUMBAVU TOA UJINGA WAKO HAPA.NENDA KAFANYE KAZI HAKUNA UTAJIRI WA KIRAHISI.MWIZI WA HELA ZA WATU KWA MGONGO WA SADAKA.
kwa bahati mbaya sijawahi kuwa mchungaji ndugu, ila kwa ulivyoandika, nahisi unahitaji msaada wa kiroho na matibabu ya afya ya akili. sio bure mtu mzima kuongea kwa hasira hivi kwenye uwanja wa kujadiliana kwa hoja.
 
Ila wanawake watakuja kutuua tuishe wote. Amembambikizia mimba jamaa.... Jamaa kailea, kalea na mtoto halafu anakuja kuambiwa chukua 850k yako mtoto si wako 🙌

Hapo ukute baba halisi wa mtoto kapata maisha sasa kamwambia binti achana na huyo fala njoo ule maisha huku kwangu
Hata iyo 850k ni ya kuzuga tu kujisafisha. Kiukweli Justine asingerudishiwa hata shilingi 1
 
Sheria ya DNA inatakiwa kuangaliwa upya. DNA ipimwe mtoto akizaliwa tu, mwanaume akikubali kulea mtoto ambae sio wake basi awe anajua ukweli tangu mwanzo.
 
Back
Top Bottom