Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

kwann walikuwa hawasemi mapema

Lakini naye mbaga alikuwa haoni sura siyake kwa mtoto huyo

badala ya kusema warudishe Hela waombwe warudishe uhai wa marehemu
Ukiona mke wako kila saa anasema yani ka junior kamefanana na baba yake mara yani "huyu ni baba yake mtupu" jua kuna kaharufu ka kupigwa Braza .
 
marehemu nae mpumbavu tu
asa kuambiwa mtoto sio wako ndo ujiue

ye angetulia na kupambana juu chimi azae na ndugu wa iyo familia

uyo mama mkwe anarahisisha tu kurejesha gharama,hajui mtu kajitoa kiasi gani
 
Wazazi ndo wàlitumia busara baada ya binti yao kukiri mimba alipewa na mwanaume mwingine wakaamua kutafuta suluhu. Binti angewaambia wakati wa mimba nadhani pia wangemtaarifu huyu marehemu.
Mabinti acheni tamaa.
wazazi hawana busara hao ilitakiwa wamwambie jamaa akapime d.n.a kujithibitishia

vp huyo jamaa mwingine akikataa, ukiona hivyo wazaz wameona kwa jamaa mpya kuna unafuu kuliko huku kwa marehemu
 
Mtoto hana shida, shida ipo kwa mama, alafu shida kubwa ilikua kwa mwanaume.
Unajiuaje kwa jambo dogo kama hili?
Sio dogo linaumiza umelea mimba umejitoa sadaka kwa mambo mangapi ili mtoto na mama wawe na afya mkuu inaumiza kuna muda mwanaume unaamua kuyavaa madeni ili kuweka mazingira ya familia safe kazini unapambana ukijua nyumbani nimea acha watu wawili wana niangalia mimi nikizembea tu nawaangusha
 
hata tusimlaumu, roho ya mauti ikikuambata yeyote anaweza kufanya lolote, hata kama hangejinyonga ila as long as roho ya mauti ilikuwa inamwandama, angekufa kwa kingine hata ajali tu. Uzuri uliopo ni kwamba, Yesu Kristo alikufa, akazikwa, siku ya tatu akafufuka kwa kuishinda mauti, uwapo uchungu wako ewe mauti, Yesu Kristo ana nguvu kuliko mauti yeyote ile, Yesu KRisto anao uwezo kureverse mauti yeyote, Yesu Kristo, ukisoma Isaya 53 inasema alipigwa na kuuawa badala yetu, chochote alichofanyiwa, ilikuwa kwa niaba yetu kwa ajili ya kutukomboa sisi toka kwenye hiyo hali.

Ushauri kwenu, kama hauna Yesu Kristo moyoni, okoka haraka, ili Yesu akuponye na mauti, akuepushe na mauti, au la, wewe binafsi utapambana na mauti na hautashinda, na elewa kwamba, kwa uwezo wako hautaishinda mauti, anahitajika yeye aliyeishinda mauti, ndiye Yesu Kristo mnayemkataa. Mungu awasaidie.
 
Kwanini ajiue sasa? Kama wanaume hili tulikatae kwenye vikao vyetu
 
Kuna kipindi nilitaka kujiua kisa nimeachwa na mpenzi wangu,nilikaa na msongo wa mawazo takribani 7days akili ilipokaa sawa,nikajiona ni mpumbavu haiwezekan nife kwa ajiri ya nyapu! Na kukaa na mpenzi mmoja inawafanya vijana wengi wajiue linapokuja suala kuwa wameachwa. Hao wazazi wa binti wampeleke huyo mtoto kwa babake na sheria ichukue mkondo wake. APUMZIKE KWA AMANI ila amefanya maamuzi ya kipuuzi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…