Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Wanawake wapo wengi tu!Kifo cha aibu,
RIP:we may meet again!
Unajiua kwa mwanamke ambaye ujamzaa, ujamuumba, amezaliwa na baba na mama mwingine.
Baadhi ya Wanaume wajjnga sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wapo wengi tu!Kifo cha aibu,
RIP:we may meet again!
Inashangaza sanaWanawake wapo wengi tu!
Unajiua kwa mwanamke ambaye ujamzaa, ujamuumba, amezaliwa na baba na mama mwingine.
Baadhi ya Wanaume wajjnga sana.
Poa mamiiAsante kwa kujali jamani. Ila nipo .
Kwenye mahusiano saivi lolote laweza tokea Kwa nini watu hawajifunzi mpaka kujiua kweli jamani
Pole sana mkuu tukaze tuKuna kipindi nilitaka kujiua kisa nimeachwa na mpenzi wangu,nilikaa na msongo wa mawazo takribani 7days akili ilipokaa sawa,nikajiona ni mpumbavu haiwezekan nife kwa ajiri ya nyapu! Na kukaa na mpenzi mmoja inawafanya vijana wengi wajiue linapokuja suala kuwa wameachwa. Hao wazazi wa binti wampeleke huyo mtoto kwa babake na sheria ichukue mkondo wake. APUMZIKE KWA AMANI ila amefanya maamuzi ya kipuuzi mno
sawa mkuu,ivi wewe unalima mashamba makubwa upo kanda ipi hapa Tanzania?Pole sana mkuu tukaze tu