Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Ungemjibu tu sawa, alafu haumtafuti tena, Yeye mwenyewe atakaa hapo home umkute ili aanze kulalamika πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pindi Baba alifariki 2010 ndugu walijitokeza kudai watatusaidia,ila mwisho wa siku wakatuteleza bila msaada,mama kasimama na sisi from scratch kweli katulea kwa nguvu zake bila msaada wa ndugu yeyote.
Mpaka Leo nina familia yangu na struggle simtegemei cha ndugu yeyote hata nikikwama vipi nitauza vitu vyangu vya ndani kuliko kulia shida kwa ndugu wanafiki
 
ndugu wengi ma snitch , endelea kupambana mkuu
 
Duuuuh. Am speech less.
 
Polee sana Mungu akusimamie ,vip mwanamke aliyekimbia hakuwahi kukutafuta Tena
Alienda Uganda. Kuna kipindi alianza kunitafuta baada ya kuambiwa na marafiki zake kuwa wameanza kuniona napendeza, hapo ni baada ya kupata kazi tena, Ila sikuwahi kumzingatia

Kipindi sina kazi baada ya yeye kuondoka na kuniacha patupu nilikuwa kama niliechanganyikiwa, mchafu, minywele nimeachia, kutembea naongea peke yangu, yaani acheni tu nyie. Nitaleta mkasa humu from A TO Z
 
Wala usimsingize mkeo ila ulifuga upumbavu wako hukusimama kama mwanaume ila mpumbavu unayeongoza familia
 

Wanawake wa kichaga wametumwa pesa ***** zao hayanaga huruma na mtu,na yao usiyaonee huruma.
 
Story hii ina mafunzo mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…