Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Mahusiano.

TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.

Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?

Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'

Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.

Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Ungemjibu tu sawa, alafu haumtafuti tena, Yeye mwenyewe atakaa hapo home umkute ili aanze kulalamika 😂😂
 
Pindi Baba alifariki 2010 ndugu walijitokeza kudai watatusaidia,ila mwisho wa siku wakatuteleza bila msaada,mama kasimama na sisi from scratch kweli katulea kwa nguvu zake bila msaada wa ndugu yeyote.
Mpaka Leo nina familia yangu na struggle simtegemei cha ndugu yeyote hata nikikwama vipi nitauza vitu vyangu vya ndani kuliko kulia shida kwa ndugu wanafiki
 
Pindi Baba alifariki 2010 ndugu walijitokeza kudai watatusaidia,ila mwisho wa siku wakatuteleza bila msaada,mama kasimama na sisi from scratch kweli katulea kwa nguvu zake bila msaada wa ndugu yeyote.
Mpaka Leo nina familia yangu na struggle simtegemei cha ndugu yeyote hata nikikwama vipi nitauza vitu vyangu vya ndani kuliko kulia shida kwa ndugu wanafiki
ndugu wengi ma snitch , endelea kupambana mkuu
 
Mahusiano.

TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.

Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?

Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'

Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.

Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Duuuuh. Am speech less.
 
Polee sana Mungu akusimamie ,vip mwanamke aliyekimbia hakuwahi kukutafuta Tena
Alienda Uganda. Kuna kipindi alianza kunitafuta baada ya kuambiwa na marafiki zake kuwa wameanza kuniona napendeza, hapo ni baada ya kupata kazi tena, Ila sikuwahi kumzingatia

Kipindi sina kazi baada ya yeye kuondoka na kuniacha patupu nilikuwa kama niliechanganyikiwa, mchafu, minywele nimeachia, kutembea naongea peke yangu, yaani acheni tu nyie. Nitaleta mkasa humu from A TO Z
 
Mahusiano.

TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.

Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?

Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'

Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.

Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Wala usimsingize mkeo ila ulifuga upumbavu wako hukusimama kama mwanaume ila mpumbavu unayeongoza familia
 
Kiukweli mimi ile kufeli mazima ilikuwa 2012. Sababu kuu ilikuwa papuchi. Nilikuwa sina demu permanent ila nadhani kila siku nilikuwa natafuna kama sio dadapoa basi yeyote anayepatikana kirahisi. Mwaka 2010 hadi 12 nilikuwa niko poa kiuchumi ila sikufanya lolote zaidi ya kutafuna mbususu na kujikuta ninafeli na kutumbukia kwenye madeni. Hiyo 2012 nikaanza kupambana kulipa madeni na kufikia Januari 2013 nikawa nimemaliza. Ilibidi nihamie Dar na kuanza upya kabisa. Haikuwa kazi rahisi ila kufikia mwaka 2016 nilikuwa na kiasi kama 5m na ndo ukawa mtaji wangu wa biashara. 2017 nikapata demu ambaye huyo ndo aliniteka na karibia kunifilisi Part II. Huyo manzi alikuwa mchaga anachuna kama hana akili nzuri. 2020 nikarudi kwenye akili zangu timamu na kuachana naye mazima. Wakati naachana naye nilikuwa nimeanza kupotea kabisa ila kwa bahati nikaanza kusimama upya hadi ninavyoandika hali sio mbaya. Hilo shetani la kichaga huwa nikilikumbuka najikuta naungana na dronedrake Kukataa ndoa.

Wanawake wa kichaga wametumwa pesa ***** zao hayanaga huruma na mtu,na yao usiyaonee huruma.
 
1. Kufanya partnership na mtoto 2a kishua.

Baada ya kufunga ndoa nilikuwa sina ajira nikachukua zile hela za zawaditunazope2a na kamati. Baadhi nikanunua bodaboda enzi zile chombo ilikuwa fekon 150. Nyingine nikafungua duka la uzushi la chakula na kufanya mishe zingine.
Sasa kutokana na kuwa na njaa ya mafanikio pale kwenye fremu nilizokuwa nimepanga alikuwa Mzee mmoja wa kishua ameritire alikuwa na vijana wake rika sawa na wote tulikuwa tumemaliza degree za kwanza. Walikiwa na Yale mafriza makubwaa sijui futi sita walikuwa wameliweka ndani.
Huku shop ikiwa inaendelea kuchanganya kwa kuwadaka kama ntilie wanakopa jioni maharage, unga wa ngano, mafuta na Michele kesho yake wanafanya biashara jioni tena wanarudisha, wakawa wanafuata samaki mbagara. Nikaona hii fursa. Nikawashawishi wale vijana kuwa hii fursa tujipange mimi nakodi fremu kwa Mzee na nyie mtoe friza kwa mshua mimi nitatoa mtaji wa kuuza samaki tuuze tugawane faida itakayopatikana. WIFE ALINIONYA AKASEMA BORA TUKOPE FRIZA JAPO KWA KUANZIA DOGO,

Tukaandika proposal kupeleka kwa mshua wao akasema very good. Mimi nawapa fremu Bure na akaweka order ya samaki tasi kwa wiki kilo 4.
Enzi box la samaki yalikuwa kati ya kilo 10 Hadi 20 pale mbagara. So unatakiwa udamke asubuhi unaingia pale mbagara kwa nyuma unachukua mzigo kilo zako 30 za samaki aina tofauti tofauti huku wameganda wakifika utawadumbikiza kwa friza.

Mtaji ulikuwa kama 300k niliotenga.

Biashara tulikuwa tunafanya vyema japo mwanzoni ilikuwa na ugumu fulani maana wateja wapo scarted, faida ilikuwa ukinunua mzigo wa 60 unapata 30 au 40 kabisa. Maana kilo unanunua 6000 jumla unauza 10 au 9.
.tukafikia Hadi kilo 100 kwa wiki..
Sasa kutokana na kuoenda kazi mimi nikawa natafuta soko kwa mama ntilie, wadosi wa kanisani, mtaani, kwenye kuuza nikawa nawachia majamaa.

Sasa kwa sababu fremu ipo karibu na nyumbani, wanakaa wanaangalia tv na maseries mteja anaita wee mwishowe wanaondoka. Muda mwingine wanaitwa na wife wanamuuliza anataka kilo ngapi alisema kilo au nusu wanasema anatusumbua. Au unaweza ukawa umepigiwa simu na mama ntilie.naomba niletee samaki kilo 2 wanakujibu poa then hawapeleki wapo busy na tv. Generally walikiwa ni wavivu sana. Ila faida wanapenda

Siku moja nikawaonyesha msg toka kwa mdosi analalamika jamaa walivyomjibu mke wake shits.. nikamwomba msamaha.

Mzigo ulipokuwa mkubwa kubeba hizo kilo mia Mzee wao alitupa kirukuu tubebe samaki badala ya kukodi Bajaj,

Machangamoto yakaanza.
1. Wakienda wao mzigo wanachukia wa Bei rahisi kumbe umeanza kuchili then wakiwa box hawapokei serious na kazi wanakaa kwenye gari wanapakia mzigo mbovu. Kwa hiyo kama tasi wamechukua 20 kg maana watauza mbili au 3 then 17 inatupa au unauzia nusu Bei ila uwe umekwangua mifupa pembeni ndo wanakubali kununua huo mzigo.mbovu.
Ukiwaambia wanakujibu utakuwa tajiri kwa 5m au 2m wewe tafuta hela uagize mzigo mwanza. Kwanza faida hakuna kwa sababu vitu vingi tumepewa buree kwa tukiweka real investment hakuna faida hapa. Then wanajadili bifu la kalapina na chid benzi sijui diamond na mtu gani.

2. Hawaheshimu hela ndogo ndogo anajiunga bundle na hela ya mauzi dukani then anasema faida yake kaitumia. Au akiwa na ratiba ya kugonga Malaya anachukua 50 hapo then anasepa.
3. Show off zikawa nyingi. Anakuja na mademu zao anawaonyesha hapo ndo nipo now days anashinda hapo hafanyi kazi ataingia mchana akula demu wake wakati wa kuondoka anakuja anakuomba nauli then anamsindikizq demu wake. Sasa Ukiwaambia ukweli wanakuona mdwanzi. Wakati wewe ukipata kifaida unaweza upanue biashara, ufanye maendeleo kidogo..

Sasa niliwahi kuitwa kwenye kazi ya muda wa miezi 6 hivi yankusafiri ilikuwa inalipa maana kwa siku walikuwa wanatoa kama 75 hivi.

Nimeeenda nimekaa miezi miwili nikaambiwa biashara imekufa...

Yani kama ningekomaa mwenyewe ningekuwa mbali...

Usifanye biashara wa watoto wa kishua
Story hii ina mafunzo mengi sana
 
Back
Top Bottom