Uislamu haufundishi kubeti na kutukana, na kutongoza watoto wa shule.
Nitazungumza na Baba Paroko wa Parokia aliyobatizwa na kupewa Kipaimara.
Waitafute hii kondoo iliyoasi na kuanza kuishi maisha ya kipagani.
Ili irudishwe kundini.
Na kwa kuwa Serikari imepiga marufuku VIROBA nadhani haitachukua mda mrefu kuirudisha hii kondoo toka parini ilikopotelea.
Rubii, hebu fatilia hii mutu.
Yaani kajiingiza kingi mwenyewe ngoja pakuche niongee na walimu wa hapo, pia nimpate huyo Baba paroko DeoNimefurahi kuskia soon huyu mzugaji ataumbuka pls fanya hivyo ukiitaji msaaada nambie
Bado kuna matumaini ya kumwokoa,Ana laana ya walimwengu huyo!!
Bado kuna matumaini ya kumwokoa,
Kondoo mmoja akipotea mchungaji huwaacha zizini kondoo wote mia na kuanza
kumtafuata aliyepotea.
Akipatikana mchungaji hufanya sherehe na kumrudisha zizini.
Mi naanza kuandaa sherehe ya kumrudisha kondoo Mcharo zizini.
Nitaigharimia mwenyewe na wala siitishi mchango.
Vizuri sana mkuu kwa kutambua dini ya haki na ya Mwenyezimungu but hii avatar yako ni wewe mwenyewe actual...?Nakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.
Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Asikusumbue,Ha ha a sawa ndugu kila la kheri
Sawa nashukuru mie kichwa maji. Kuliko wewe usiye na kichwa cha chini wala cha juuUnashangaa kwa sababu hujaelewa.
Wewe ni kichwa maji
si ndio dini yako njema inavyokutuma hivyo.Njoo kinyume nyume, na chupi mkononi!!
si ndio dini yako njema inavyokutuma hivyo.
shetani wewe
Sasa kama sio padri mbona unajiita padri mapigo yako yatamzidi ayubu weweSio Padri tena kwa sasa.
Nilikua Padri wa dhehebu moja pendwa Parokia ya Itigi Singida.
Baada ya kutambua dini ya haki, nikaachana na utumishi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa nini unafurahia vitendo vya kupiga nyeto??
Wewe utakuwa mtu wa mbagala misikiti ya mbagala ndo kelele zao na hiyo dini ya haki haki gani ya kujilipuaAdhana nilikua naisikia mara kibao.
Siku hiyo ndio nilielewa maana ya hayo maneno yaliyo kwenye adhana.
Naamini hata wewe hujui tafsiri ya yale maneno. Unasikiaga sauti tu.
We ni kiziboNi kweli.
Kwa sababu Nyeto ndio ilikua msaada wangu mkubwa tangu nikiwa Tabora Boys, Itaga Seminary, UDSM , Amsterdam School of Divinity.
Hujasoma Boarding school wewe???
Wewe sio padre wewe ni muhuno flani aliyejipenyeza kanisani.Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
Wewe una ham ya kula nyama ya yule mdudu.Nakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.
Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Huyu ni mvuta bangi flani tu huyuWewe sio padre wewe ni muhuno flani aliyejipenyeza kanisani.
huwezi kuwa shujaa bila kuwa muhuni
Ni ipi hiyo dini ya haki ili nami nijiunge nayoSio Padri tena kwa sasa.
Nilikua Padri wa dhehebu moja pendwa Parokia ya Itigi Singida.
Baada ya kutambua dini ya haki, nikaachana na utumishi.