rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Uislamu haufundishi kubeti na kutukana, na kutongoza watoto wa shule.
Nitazungumza na Baba Paroko wa Parokia aliyobatizwa na kupewa Kipaimara.
Waitafute hii kondoo iliyoasi na kuanza kuishi maisha ya kipagani.
Ili irudishwe kundini.
Na kwa kuwa Serikari imepiga marufuku VIROBA nadhani haitachukua mda mrefu kuirudisha hii kondoo toka parini ilikopotelea.
Rubii, hebu fatilia hii mutu.
Ana laana ya walimwengu huyo!!