Nicodemas Tambo Mwikozi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 663
- 1,047
Wewe ni tatizoNakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.
Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Ila betting haijawah kumuacha mtu salama.mpaka mapadre na masheikh wanasuka mikeka[emoji1] [emoji1] [emoji1]Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
Hapana kabisa.
Ingawa naomba nikubali kuwa nilichoshwa sana na Punyeto.
Aysee hii ni saa mbovuNi kweli.
Kwa sababu Nyeto ndio ilikua msaada wangu mkubwa tangu nikiwa Tabora Boys, Itaga Seminary, UDSM , Amsterdam School of Divinity.
Hujasoma Boarding school wewe???
Wewe ulikua pepo tu ndo maana uliondoka. Daima ktk ukristo pumba hujiondoa zenyewe. Mtu aliesoma na kutembea kwa kiwango km hicho hawezi kuzungumza ujinga km wako wewe mcharo. Wewe ulikua ni shetani tu uliejipenyeza kanisani. Laana imekupata tyr ndio maana sasa unazungumza vitu visivyoeleweka bd kuokota makopo.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwanza nikuweke sawa, sikuvamia.
Nikiwa na akili zangu timamu niliona haki ilipo nikaifata.
Nikija kwenye swali lako la msingi:
Kwanza amani ya nafsi.
Pili burudani nayopata pindi naposoma Qur'an takatifu.
Maana ni kitabu kisicho na shaka ndani yake.
Nimesoma sana Bible usinione hivi.
Kila nilipokua naisoma nilikua naisoma kwa mashaka mashaka tuu. Haina amani
Hata hiyo hadhi ya kuwa mtumishi mfagiaji hana kabisa.labda ulikua mtumishi mfagiaji, huwezi kua pandri wewe, kwa comments zako, otherwise unamsongo wa mawazo au ukichaa wako upo kiwango cha juu!
Were inwezekana bangi zimekutwala na uzinifuNakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.
Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Iyo avatar n wewe?
Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Mara ya kwanza kula demu ilikusje mkuuNiulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
Kiongozi,tujadiliane kistaarabu.maana na yeye akipanic sidhan kama itakuwa vizuri.Wewe ni mwehu bila shaka.
Nati zimelegea bila shaka.
Majibu yako yanadhihirisha ww una elimu ya madrasa tuu huwezi hata kutunga uongo fala wewe.
Kwahiyo sababu kubwa ya kuacha upadre ni kiu yako yakutaka kufanya zinaa + uasheratiHapana kabisa.
Ingawa naomba nikubali kuwa nilichoshwa sana na Punyeto.
Wewe ndye mwenye hekima wakati unajulikana kwa kutoa maneno machafu humu jf?Asante bwana heradius12
Unaonekana una Kiu ya kujifunza dini hii ya haki.
Kitu kikubwa niliwazidi nyie mliobaki huko ni Hekima na Busara.
Nikupe mfano halisi????
Tumuite mtu asome comment yako hiyo juu niliyo kuquote, then asome na hii comment yangu niliyokujibu.
Then aseme nani kati yangu mimi na wewe anaonekana ana Hekima na Busara.
Bila shaka mwenye pumbu mbili ameonekana, na mwenye pumbu saba pia ameonekana.