Tetesi: Kikao cha dharura cha wakuu wa vyuo vyote vikuu nchini kinaendela mjini Dodoma , kuna tatizo kubwa

Tetesi: Kikao cha dharura cha wakuu wa vyuo vyote vikuu nchini kinaendela mjini Dodoma , kuna tatizo kubwa

Tatizo sio chuo tatizo laanzia shule za msingi....

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe 100%. Wakuu wa vyuo hawawezi na sio suruhu na sio tatizo katika hili. Serikali inajikuna yenyewe katika hili. Kuna wanafunzi vyuo vikuu hawawezi kuandika sentensi ya kiingereza. Na shule za kata zimekuja kuwa hovyo kabisa na ndio matunda haya tuyaonayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia kikao hicho kinatarajiwa kujadili hali ya utoaji wa rishwa ya ngono kwa wanafunzi wa kike vyuoni ambapo huadiwa alama za juu ili kufaulu mitihani yao ya mwaka wa mwisho kwa masharti ya kushiriki vitenndo vya ngono na wahadhiri wao.


Changamoto zilizopo kwenye eneo hili wazitafute kwa wahanga kwakuwa ndiyo wenye taarifa nyingi zaidi na siyo hao wakuu wa vyuo, mfumo wa utoaji wa alama katika vyuo vikuu una mapungufu mengi sana na ndiyo umetufikisha hapo tulipo, ni bora mitihani ingekuwa inatungwa na kusahihishwa na chombo maalumu kama NECTA ambapo mtahini na mtahiniwa hawaonani
 
Hivi suala la Ubora wa Wahitimu Vyuo vikuu linahitaji Mkutano wa dharura?

Siku hizi maana ya neno dharura haifahamiki vyema

Utaskia Breaking news ‘ Rais aanza ziara ya Kikazi Geita
Baraza la Kiswahili lipo mtungini
 
Kuna tetesi kuwa kikao cha dharura kimeitishwa mjini Dodoma kinachowakutranisha wakuu wote wa vyuo vikuu nchini.

Hatua ya kuitia kikao hicho imetokana na hali mbaya ya wahitimu wa vyuo vikuu nchini ambapo mara wanapoajiriwa katika sehemu mbalimbali wanashindwa kufanya kazi ambazo zingine ni rahisi kabisa.

Wahitimu wengine wanashindwa kuandika barua za maombi ya kazi, kushindwa kufanya majaribio mbalimbali na hata pia kushindwa kuandika taarifa kwa kwa lugha ya Kiswahili na pia kwa lugha ya kiingereza.

Waziri wa elimu profesa Naalichako ameamua kuitisha kikao hicho kujadili kuona wapi kuna tatizo.

Pia kikao hicho kinatarajiwa kujadili hali ya utoaji wa rishwa ya ngono kwa wanafunzi wa kike vyuoni ambapo huadiwa alama za juu ili kufaulu mitihani yao ya mwaka wa mwisho kwa masharti ya kushiriki vitenndo vya ngono na wahadhiri wao.

Ni muhimu taarifa kama hizi zikawekwa kwenye umma ili kuuelimisha kuhusiana na hali halisi ya kudorora kwa kwa kasi ya juu kwa utaji wa elimu ya juu nchini na kuachia wanafunzi khasa wa kike kutegema kutoa miili yao ili kupata alama nzyri.
Joyce alikuwa mhadhiri UDSM. Anajua kabisa tatizo la rushwa ya ngono UDSM.
Katika hao wakuu wa vyuo aliowaita, wapo miongoni mwao waliotoa marks ili wapate ngono kwa wanafunzi. Hilo pia analijua fika. Wapo wanaotumia wahadhiri wengine kuwatafutia dogodogo wa kutafuna.Wakifeli marks zinabadilishwa kwa nguvu ya wakubwa.
Wasipoteze hela za umma kufanya vikao wakati tatizo na wahusika wanajulikana.
 
Uendeshaji wa elimu hapa Tanzania wapewe kanisa Katoliki waiendeshe angalau kwa miaka 10 ili waweke msingi thabiti halafu ndio serikali ikabidhiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba rejea ya chuo kikuu cha mfano wa kuigwa Tanzania, mpaka kanisa lipewe hiyo exclusive right. Mfano mdogo, nimesoma chuo cha umma. Mwalimu wangu wa somo la hesabu(statistics) alikua part time kwenye chuo kikuu cha kanisa, hicho chuo hakikua na mbadala wa huyo mwalimu. Hata ukiangalia handouts wanazosoma ni zile zile tunazosoma mpaka nukta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tetesi kuwa kikao cha dharura kimeitishwa mjini Dodoma kinachowakutranisha wakuu wote wa vyuo vikuu nchini.

Hatua ya kuitia kikao hicho imetokana na hali mbaya ya wahitimu wa vyuo vikuu nchini ambapo mara wanapoajiriwa katika sehemu mbalimbali wanashindwa kufanya kazi ambazo zingine ni rahisi kabisa.

Wahitimu wengine wanashindwa kuandika barua za maombi ya kazi, kushindwa kufanya majaribio mbalimbali na hata pia kushindwa kuandika taarifa kwa kwa lugha ya Kiswahili na pia kwa lugha ya kiingereza.

Waziri wa elimu profesa Naalichako ameamua kuitisha kikao hicho kujadili kuona wapi kuna tatizo.

Pia kikao hicho kinatarajiwa kujadili hali ya utoaji wa rishwa ya ngono kwa wanafunzi wa kike vyuoni ambapo huadiwa alama za juu ili kufaulu mitihani yao ya mwaka wa mwisho kwa masharti ya kushiriki vitenndo vya ngono na wahadhiri wao.

Ni muhimu taarifa kama hizi zikawekwa kwenye umma ili kuuelimisha kuhusiana na hali halisi ya kudorora kwa kwa kasi ya juu kwa utaji wa elimu ya juu nchini na kuachia wanafunzi khasa wa kike kutegema kutoa miili yao ili kupata alama nzyri.
Label - "TETESI" lakini unajua kila kinachojadiliwa
 
Wache kusingizia mambo ya kipuuzi ajira zenyewe ziko wapi saivi nusu ya wahatimu wa vyuo vikuu wanamaliza hawajui what next maana hata waliojiajiri wanaishi kwa kudra za mwenyezi Mungu tu maisha yao magumu bora vile hata walivyokua wanapokea Boom!!
 
Tatizo lilianza kupeleka waliofeli ndio wawe waalimu.....

Afu ikaja Siasa ikaingilia elimu watu wanataka wafaulishe tu ila wanafunzi wajinga...

Tatizo ni serikali na huko mbeleni ndio patakuwa pabaya zaidi maana watu wengi wanasoma ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
• Imarisheni shule za Awali, Msing8 na Sekondari kupata graduant wazuri.

• Boresha ubora wa walimu, wakufunzi na wahadhiri kupata waliobora kabisa.

• Badilisheni muundo na mfumo wa kuwachakata wanachuo katika masomo yao. Punguzeni mihadhara angezeni kujifunza kwa vitendo.

• Sitisheni mkakati wa kila mtanzania kufika chuo kikuu. Boresheni na imarisheni vyuo vyao vya kati. Hii itasaidia kuwa na wanafunzi wachache wahadhiri anaweza kuwamanage kwa kiwango stahili.

•Punguzeni uanzishaji wa kozi ndani ya kozi. Mfano B.A Leadership and Management, kwa nini isiwe module au topic ndani ya B.A Administration?
 
Back
Top Bottom