Kikao cha Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif Sharif Hamad ni muhimu kabla ya utangazaji matokeo

Kikao cha nini? Utaratibu ni ule ule ukipiga kura nenda nyumbani kasubiri matokeo yatangazwe na tume, mgombea ukishindwa kubali matokeo kama hukubaliani kata rufaa tume au nenda mahakamani, kinyume na hapo unavunja sheria na lazima vyombo vya dola vikushughulikie na utashughulikiwa haswa, hakuna muda wa kupoteza kukaa kikao wakati taratibu zote ziko wazi, wewe unaependa vikao itisha cha familia yako au chama chako.
 
Akili za wajinga Kama wewe, ni shida!! hivi unawazazi kweli wewe?? unandugu? weka kando ubinafsi wako!! Mleta mada ameangalia masirahi mapana ya nchi!!
masilahi ya nchi gani? kwaiyo rais akae kikao na mtu aliyekuja kuleta vurugu akiwa na tiketi mfukoni? hakun kikao wa masilahi mapana kama kikosi cha simba, afanye vurugu aone.
 
Wakutane ili iweje?
 
Ungekua nchi inaendeshwa na muungwana na ni nchi ya Kidemokrasia ingekua rahisi
Lakini huyu mtu ni balaa katili asie na chembe ya huruma wala Ubinadamu hawezi kufanya hivyo
acha ubwege wewe hii nchi siyo yenu nyinyi chadema au wafuasi wa lissu peke yenu, kiasi kwamba kila mnachotaka au kupendekeza kifanyike hakuna kikao na leteni vurugu sasa muone mtafurahi wenyewe kitakacho wakuta.
 
Kuna mtu mbaguzi na mwenye akili kuliko watanzania wote kati yao, hawezi kukaa na mtu hapo
akaeenanani na ili iweje, aeende akakae na wazungu au atangulie the hague tutakutana huko.
 

Kipindi cha kupiga kura hakitoi nafasi ya mazungumzo. Siasa ya uchaguzi inalazimisha adui yako kisiasa , umponde ponde ummalize, kiasi hata ikitokea akipata nafasi ya kuamka, hatakuwa na uwezo wowote wa kujibu mashambulizi kwa kipigo ulichompa.

Na ikitokea ameweza kujikusanya na kuamka ngumi yake inatakiwa iwe dhaifu sana kiasi haiwezi kuumiza.

Hii ndio mapigano ya siasa za uchaguzi.
 

Halafu mleta mada jiangalie kwani Lisu ndo mgombea peke yke kutoka upinzani?a au ndo wa kwanza kushangiliwa na akashinwa vilevile? kama unapenda vikao nenda mrina baa manzese huwa kuna vikao vingi kashiriki na kama unapenda kutoa ushauri sana mshauri mkeo kama unae juu ya afya bora ya uzazi.
 
masilahi ya nchi gani? kwaiyo rais akae kikao na mtu aliyekuja kuleta vurugu akiwa na tiketi mfukoni? hakun kikao wa masilahi mapana kama kikosi cha simba, afanye vurugu aone.
Wekeni itikadi pembeni likitokea linalotokea hata JPM ana free diplomatic kwenda nchi nyingi duniani - mimi na wenzangu ndio tutakaopata taabu
 
Umeshiba sembe - nashauri viongozi wenye nguvu za kisiasa kama umekosa usingizi tafuta season uangalie au fuatilia mechi za jana

Sina roho ya kishetani na sinuki damu
 
Wacha uwoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…