Kikao cha Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif Sharif Hamad ni muhimu kabla ya utangazaji matokeo

Kikao cha Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif Sharif Hamad ni muhimu kabla ya utangazaji matokeo

Niliandika post yenye maudhui yanayofanana na hii
 
Kikao kingekuwa na maana kama wagombea wangekuwa wanajua kuheshimu wenzao, yaani wakawa wanagombea kwa sera tu. Iwapo una mgombea ambaye sera yake ni kumtukana na kumshambulia matusi ya hovyo mgombea mwenzake unategemea wakutane kweli?
Unakumbuka matusi ya Kina Joho na Babu Owino kwa Kenyatta? Ila Kenyatta si aliwaita wakayamaliza.

Shida ya Afrika na watu wenye mentality kama zako ni kwamba winner takes All. Na anayeshindwa akose vyote. Hizi ndio zinajenga chuki kiasi ukimsupport Rais aliyepo madarakani utaitwa CCM na ukimkosoa unaonekana upinzani!!

Ilifikia stage ndege inakamatwa watu wanashabikia, watu wanashangilia kusikia vifo vya JW kule RDC. Nadhani uliona reaction siku Rais anaugua au Lissu anapigwa risasi matusi yaliyokuwa yanatolewa kwa pande zote.

Embu jiulize leo hii ingekua ndio tumevamiwa na Idd Amin wangapi wangejitolea kupigania taifa na wangapi wangeshabikia uvamizi ili mradi tu CCM ikomolewe?

Suluhisho ni inclusive politics.... Sasa kma nyie mnaona mnamkomoa mtu mmoja madhara mtayaona siku moja.
 
NEC itende haki na kila kitu kiwe above board. Kusiwe na figisufigisu ya aina yoyote ili yeyote aliyeshindwa aone kweli ameahindwa na akubali matokeo.
Hapo ndo penye utata! Watu wakiona wamedhulumiwa haki yao, watakinukisha tu, wakuumia ni wale wenye familia changa na wame-settle!
 
Mambo mengi uliyoandika ni ya kweli na ya maana sana ila ulianza post hii vibaya. Nilichoongea siyo swala la "mentality" yangu ya winner takes all, bali ndiyo system yetu ilivyo. Zanzibar pale walijaribu unachoita inclusive politics kwa kumpa Hamad umakamu wa rais lakini haikumaliza mfarakano.

Hata Kenya unao-cite walifanya hiyo inclusive politics kwa kumpa Odinga uwaziri mkuu lakini pia haikumaliza tribalism na division miongoni mwao. Kupingana kwa sera ni tofauti kabisa na kufanya personal attacks. In fact akina Joho hawakuwa wanamtukana Kenyatta kama invyotokea hapa Tanzania leo hii.
 
mambo mengi uliyoandika ni ya kweli na maana sana ile ulianza post hii vibaya. Nilichoongea siyo swala la "mentality" yangu ya winner take all, bali ndiyo system yetu ilivyo. Zanzibar pale walijaribu unachoita inclusive politics kwa kumpa Hamad umakamu wa rais lakini haikumaliza mfarakano; hata Kenya unao-cite walifanya hiyo inclusive politics kwa kumpa Odinga uwaziri mkuu lakini pia haikumaliza tribalism na division miongoni mwao. Kupingana kwa sera ni tofauti kabisa na kufanya personal attacks. In fact akina Joho hawakuwa wanamtukana Kenyatta kama invyotokea hapa Tanzania leo hii.
Sasa tunaomba utulishe na jinsi gani yafaa ili maadui wa kisiasa wageuke kuwa marafiki wa kisiasa
 
Hapo ndo penye utata! Watu wakiona wamedhulumiwa haki yao, watakinukisha tu, wakuumia ni wale wenye familia changa na wame-settle!
Ili wasikinukishe - plz give us the best alternative
Tunaihitaji Tanzania kuwa sehemu ya kuishi badala ya kuwa sehemu uadui na kukinukisha
 
Upo KIGOMA maeneo gani Mkuu??
Tufamiane JF members tuliopo huku
 
NEC itende haki na kila kitu kiwe above board. Kusiwe na figisufigisu ya aina yoyote ili yeyote aliyeshindwa aone kweli ameahindwa na akubali matokeo.
Sawa, viongozi wanaomaliza muda wao wanawaamini wapya wawezao kuongoza - kwamba wapya hawatalipiza visasi - akina Lissu wanatoa neno gani kuwahakikishia promising Future?
 
Ni jambo jema sana, Lakini kwa bahati mbaya sana CCM hawatakuelewa maana wsao wanaogopa sana hata kusikia neno HAKI!
Wanakimbilia kuhubiri AMANI wakati hawatendi haki, Hata wakati wa utawala wa Nduli IDD AMINI DADA, Uganda ilikuwa na AMANI lakini watu wake waliishi kwa dhiki sababu ya kujengewa hofu kubwa!
CCM hawawezi kuhudhuria maana hawapo tayari kukubali matokeo ndio maana katika kampeni kote si mgombea wao wala msemaji wa chama hakuwahi kusema popote kwamba akishindwa atakuwa tayari kukabidhi nchi kwa AMANI!
Sasa tuwalazmishe kutenda haki na kukubali matokeo hata kama ni kwa shingoupande!
 
NEC itende haki na kila kitu kiwe above board. Kusiwe na figisufigisu ya aina yoyote ili yeyote aliyeshindwa aone kweli ameahindwa na akubali matokeo.
Usipate shida chukua tu Dar kama sample uone tutakavyompiga chini Lissu na CHADEMA sijawahi ona mwamko wa hasira wa kupiga kura dhidi ya CHADEMA na wagombea wake kama safari hii.

Dar wameapa kuionyesha mikoa mingine kuwa hawa wahuni CHADEMA na Lissu hawatakiwi bongo Dar es Salaam jiji la watumia bongo zao

Katika maeneo atakayopata kura chache za kumtia aibu ni Dar es salaam
 
Yani unataka Rais Wa Nchi Akutane na Wahuniii
Not so much sure kama ni wahini - unamaanisha tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa nchini hawafai - if not kwa nini waruhusu wahuni kuingia ulingoni?
 
Tatizo hii Tume yenyewe ya uchaguzi haionekani kuwatendea haki sawa wagombea wote, sasa hao kina TL na Maalim watakubali vipi hicho kikao?

Vv
 
Not so much sure kama ni wahini - unamaanisha tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa nchini hawafai - if not kwa nini waruhusu wahuni kuingia ulingoni?
Ili waonekane kwa wananchi kuwa wahuni

Lissu atakuwa mgombea urais wa term moja tu kama wenzie hakuna mgombea urais wa upinzani wa muungano aliyewahi kurudi kugombea mara ya pili baada ya kubwagwa ugombea urais

Baada ya uchaguzi huu Lissu atauogopa ugombea urais kama ukoma

CCM safari hii hakuna kura ya huruma sababu tuko united hatujagawanyika kama kipindi cha mrema,Slaa au Lowasa walipoondoka CCM kura hazisambai zinaelekea one way kwa Dk Magufuli tu Lisu is a nobody

Dar tukiongoza kumpiga chini Lissu na Chadema
 
Usipate shida chukua tu Dar kama sample uone tutakavyompiga chini Lisu na chadema sijawahi ona mwamko wa hasira wa kupiga kura dhidi ya chadema na wagombea wake kama safari hii

Dar wameapa kuionyesha mikoa mingine kuwa hawa wahuni Chadema na Lisu hawatakiwi bongo dar es salaam jiji la watumia bongo zao

Katika maeneo atakayopata kura chache za kumtia aibu ni Dar es salaam
Nadhani hauishi Dar.... Kma kuna eneo wato hawatopiga kura kabisa ni Dar sasa hizo kura za kupania ni zipi?

Majimbo kma Mbagala,Segerea,Kibamba,Kawe,Temeke wagombea wa CCM hawakubaliki kabisa hivyo kma upinzani usiposhinda ni sababu hawakujipanga tu ila muamko wa kupiga kura maeneo tajwa ni mdogo mnoo kwa wagombea wa CCM.

Reserve hii comment, kura za ushindi zitatoka mikoani sio Dar ambapo mwaka huu hamna muamko wa uchaguzi kabisa tokea hama hama zitokee.
 
CCM na sera yao ya mabomu, piga, weka ndani hawatakubali
 
Iki waonekane kwa wananchi kuwa wahuni

Lisu atakuwa mgombea uraisi wa term moja tu kama wenzie hakuna mgombea uraisi wa upinzani wa muungano aliyewahi kurudi kugombea mara ya pili baada ya kubwagwa ugombea uraisi

Baada ya uchaguzi huu Lisu atauogopa ugombea uraisi kama ukoma

CCM safari hii hakuna kura ya huruma sababu tuko united hatujagawanyika kama kipindi cha mrema,Slaa au Lowasa walipoondoka CCM kura hazisambai zinaelekea one way kwa Dk Magufuli tu Lisu is a nobody

Dar tukiongoza kumpiga chini Lisu na Chadema
Huu uzi ulipaswa kujenga naona mnakuja na siasa za jino kwa jino;

Wagombea Urais kubadilishwa nadhani ni jambo jema Kwa demokrasia ila hilo hampongezi ila Mbowe akiwa mwenyekiti vipindi vinne mnamuita dikteta!!

Inclusive politics inahusisha kugawana majukumu na madaraka ila nyie hamlioni hilo mnasubiri agombee mtu wa kaskazini 2025 mseme ni chama cha wachagga!! Ila akitokea kanda ya kati sioni mkipongeza.

Btw 2010 CCM haikua imegawanyika ila upinzani ulipata almost 40% sawa tu na walizopata 2015 sasa sijaelewa mgawanyiko upo ulinufaisha upinzani 2010?? Na Dk Slaa aliondola 1995 kivp madhara yatokee 2010 na sio hiyo 95 alipohama?

Naomba tusaidiane hapo
 
Huu uzi ulipaswa kujenga naona mnakuja na siasa za jino kwa jino;

Wagombea Urais kubadilishwa nadhani ni jambo jema Kwa demokrasia ila hilo hampongezi ila Mbowe akiwa mwenyekiti vipindi vinne mnamuita dikteta!!

Inclusive politics inahusisha kugawana majukumu na madaraka ila nyie hamlioni hilo mnasubiri agombee mtu wa kaskazini 2025 mseme ni chama cha wachagga!! Ila akitokea kanda ya kati sioni mkipongeza.

Btw 2010 CCM haikua imegawanyika ila upinzani ulipata almost 40% sawa tu na walizopata 2015 sasa sijaelewa mgawanyiko upo ulinufaisha upinzani 2010?? Na Dk Slaa aliondola 1995 kivp madhara yatokee 2010 na sio hiyo 95 alipohama?

Naomba tusaidiane hapo
Mrema effect Mrema akikuwa na nguvu mno CCM akipinga mifisadi na wezi wa Mali za umma alikamata mke wa kiongozi mkuu serikalini akanyimwa ugombea CCM akatimukia NCCR mageuzi CCM tukikoswa koswa kupigwa chini watu walimbeba mrema CCM ikakatika vipande uchaguzi tuliponea chupuchupu

Baada ya Mrema kushindwa uraisi akaacha kugombea akaenda TLP lakini alikiwrzesha NCCR kupata wabunge kibao na kukiwezesha kuwa chama kikuu cha upizanzani bungeni

Dk Slaa aliyepopigwa chini kugombea ubunge na CCM akiwa na nguvu akatimukia Chadema CCM ikakatika part two wa Mrema wakatoka NCCR wakahamia Chadema kwa hiyo makundi mawili yaliyotoka CCM ya Mrema na Slaa yakaunga nguvu 2010 ndio ukaona huko kupanda

2015 kukatokea mvunjiko mkubwa ndani ya CCM baada ya Lowasa kutimka na kundi lingine kwenda kuungana na lile LA Slaa na UKAWA ndio ukaona ushindi umepanda wa upande wa Chadema

Lakini sasa makundi ya Mrema,Slaa,Lowasa yamerudi CCM na CCM iko unitede upande wa upinzani united hapo tena wanategemea brand name za individuals tu za Lisu Tanzania bara na maalim Seif Zanzibar sio popularity za chama ndio maana sasa ni united CCM against individuals!! Tunawashinda asubuhi
 
Back
Top Bottom