Kikao cha Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif Sharif Hamad ni muhimu kabla ya utangazaji matokeo

Kikao cha Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif Sharif Hamad ni muhimu kabla ya utangazaji matokeo

Lissu ana asili ya ukorofi na kiburi. Anajua hawezi pata Urais ila anatoa kauli za kichochezi kutugawa.
Lissu alipokuwa anapigania madini yetu, ulimtafsiri kuwa ni mkorofi na mwenye kiburi. Kimaigizo igizo JPM anaigiza kufanya aliyokuwa anafanya Tundu Lissu, mnakatia viuno JPM kwa mapambio kuwa JPM ni mzalendo analinda rasilimali zetu! Weee lijamaa ni mnafiki kumzidi Judah Iskariote.
 
Ccm wameshajitangazia ushindi wa sjui wa kishindo hata kabla kura hazijapigwa kuna haki hapo? Tafakari hayo
 
Mtu anayekuambia asiposhinda patachimbika huyo hata wafuasi wake wenye busara ni wachache mno,asilimia kubwa ni wahuni tu.Huyo akae mbali kabisa hatutaki kumuona.Tena usitukumbushe tukaanza kumwimbia nyimbo tulizomwimbia Oscar kambona (Mungu amrehemu)miaka ile.
Na asiesema kitu kuhusu kushindwa na kushindwa ni nani?
 
Umetumia neno kali lakini ndio hivyo.Kila dalili uchaguzi utavurugika,kuna watu watakufa,kuna watu wataumizwa lakini mwisho wa yote maisha yataendelea.
Serikali za mitaa ilitokea na hata kwa uchaguzi huu itatokea lakini kama CCM ilivyoshindwa kutabiri impact ya Lissu ndivyo itakavyoshindwa kutabiri maisha baada ya UCHAGUZI!!
Wapiga kura,pigeni na rudini nyumbani waachieni mawakala wafanye kazi yao.Msipambane na askari.
YATAPITA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ni argument nzuri, Tanzania inahitaji kuwa moja - kamwe tusiendelee kuhadaa umma - wananchi ambao ndio kipindi cha uchaguzi huamua nani awe diwani, mbunge, mwakilishi na Rais basi maamuzi yao yaheshimiwe

Kwa wingi wetu bungeni tuliitunga katiba yetu wenyewe, kwa wingi wetu tuliruhusu mfumo wa uchaguzi kuwa wa vyama vingi vya siasa - vivyo hivyo tuepushe utwaaji wa madaraka kwa nguvu

Umoja wa kitaifa ni muhimu sana kwa taifa la watu wastarabu
 
Lisu alipokuwa anapigania madini yetu, ulimtafsili kuwa ni mkorofi na mwenye kiburi. Kimaigizo igizo JPM anaigiza kufanya aliyokuwa anafanya Tundu Lisu, mnakatia viuno JPM kwa mapambio kuwa JPM ni mzalendo analinda lasilimali zetu! Weee lijamaa ni mnafiki kumzidi Judah Iskariote.
Ndyali tunaingia kwenye chaguzi tukiwa takriban makundi matatu
(a). Kundi la viongozi wa vyama vya siasa - kundi hili liwe la chama ongoza, au upinzani lzm lipiganie ushindi sababu lisipofanya hivyo itakuwa hakuna haja ya kuwepo kwa chama hicho (hawa huratibu mbinu, mikakati ili kujipatia ushindi);

(b). Kundi la viongozi wa umma wanaoneemeka na chama ongoza - hawa hujumuisha viongozi wote walioajiriwa na Serikali iliyoko madarakani. Kundi hili hupambana usiku na mchana ili mwajiri wao abaki madarakani (hulenga maslahi binafsi) kwa hiyo ukijitokeza kuhitaji nafasi ya mwajiri wao lzm ukutane na mengi mabaya na ya kukatisha tamaa. Kuvuka kwako kutategemea msimamo wako na mikakati mbadala;

(c). Kundi la watu wa kawaida - hawa ndio wengi ambao wasipokuwa makini makundi ya mwanzo mawili huwajenga kisaikolojia na kujifanya kwamba wako wote kipindi cha uchaguzi lkn ukweli ni kwamba kuna gap kubwa between them - njia zinazotumika ni nyingi (ahadi, vifaa vya michezo ie mipira, jezi, viatu nk; fedha taslimu ie 10'000/=, 20,000/= nk

Sasa basi iwapo kipindi TL anazungumzia madini alikutana na upinzani mkali huenda moja ya waliompinga wakawa wanaangukia kwenye moja ya makundi hayo matatu.

Tanzania ibaki moja,
Watanzania tubaki wamoja
Mungu ibariki Tanzania
 
Kuna mtu mbaguzi na mwenye akili kuliko watanzania wote kati yao, hawezi kukaa na mtu hapo
 
Kwa Nini CCCM watawale milele Paschal, hata Kama wanakosea? Sasa Nini maaana na umuhimu wa vyma vingi si bora waseme Kuna chama kimoja tu basi
Ingawa hili swali halijaelekezwa kwangu lakini naomba tufahamu kidogo kwamba - nchi yetu mwishoni ilipambania Uhuru kamili toka kwa mwingereza (waliopambania hili moja wapo ni Mwl Nyerere)

Sasa kama ilivyokuwa kwa USA miaka ya 1700 / 1800 baada ya kutoka kuwa taifa la utumwa ilifiata mitifuano ya ndani kati ya mtu mweupe na mtu mweusi - hapa ndipo tunapowaona akina Martin Luther King wakipambania Uhuru wao, haki yao na maendeleo sawia - hivyo kwetu sisi leo mpaka tunafika hatua fulani lzm tabaka linalodhani linakandamizwa liwe na mechanisms za kuepuka ukandamizwaji

Wewe na wengine lzm muwe ktk nafasi ya kuhakikisha hakuna ukandamizwaji ndani ya taasisi za vyama vya siasa
 
Uko nyuma ya wakati sana chief. Hujamsikia askofu marakana sio
 
Upuuzi mtupu
Fine, weka maoni yako sasa usiishie njiani - kwa umri wako huwezi kuishia kuunga mkono au kukataa bila kuwa na njia sahihi ipasayo

Naamini maridhiano ni silaha kubwa ktk taifa lolote duniani
 
Ingawa hili swali halijaelekezwa kwangu lkn naomba tufahamu kidogo kwamba - nchi yetu mwishoni ilipambania Uhuru kamili toka kwa mwingereza (waliopambania hili moja wapo ni Mwl Nyerere)

Sasa kama ilivyokuwa kwa USA miaka ya 1700 / 1800 baada ya kutoka kuwa taifa la utumwa ilifiata mitifuano ya ndani kati ya mtu mweupe na mtu mweusi - hapa ndipo tunapowaona akina Martin Luther King wakipambania Uhuru wao, haki yao na maendeleo sawia - hivyo kwetu sisi leo mpaka tunafika hatua fulani lzm tabaka linalodhani linakandamizwa liwe na mechanisms za kuepuka ukandamizwaji

Wewe na wengine lzm muwe ktk nafasi ya kuhakikisha hakuna ukandamizwaji ndani ya taasisi za vyama vya siasa
So maana yake ni kazi kwa wapinzani wao wnyewe kupambana wapate haki yao
 
Uko nyuma ya wakati sana chief. Hujamsikia askofu marakana sio
Sijamusikia, ni lazima tutembelee hisia na matendo yake?? Ipi njia sahihi inayoweza kutumika ili kuiweka Tanzania yenye umoja wa kitaifa?
 
Magufuli ni masikio yanayozidi kichwa kama ya punda. Hawezi kukaa na Lissu. Unaweza kukaa na mtu uliyetaka kumuua?
Sio tu hivyo Lissu ni kichwa haswaaaa akiwekwa pale kuna watakaokosa kujiamini kwa sababu hakuna anayemzidi kwa hoja jembe yule.
 
Mkuu Msakila, naelewa hofu yako! Labda Una watoto wadogo kama mimi, labda Una umri wa kuwa settled, Una kazi yako, umewekeza, kama mimi! Kama ndivyo, madhara yakitokea, Sisi ni wahanga zaidi! Hata Mimi namwomba Mungu, kama amani ikishindikana, basi utulivu uendelee, tukeep status quo!

Tatizo ni kwamba kila ukombozi, kuna damu huwa inamwagika, na inaonekana saa ya ukombozi imekaribia! Mungu atuvushe tu, lakini kuna watakao poteza ili wengine wapate ukombozi, hope si Wewe wala mimi!
NEC itende haki na kila kitu kiwe above board. Kusiwe na figisufigisu ya aina yoyote ili yeyote aliyeshindwa aone kweli ameahindwa na akubali matokeo.
 
Back
Top Bottom