Kikao cha Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif Sharif Hamad ni muhimu kabla ya utangazaji matokeo

Kikao cha Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif Sharif Hamad ni muhimu kabla ya utangazaji matokeo

Slaa aliondoka CHADEMA 2015 alileta madhara gani? Kma Karati chadema ilipiga Hat-trick kuanzia mbunge, halmashauri mpaka Urais ina maana hana influence yoyote aliyopeleka CCM.

Lowassa Alikuta upinzani una 38% majority kwa matokeo ya serikali za mitaa na 2010!! Alichoongeza ni 3% tu ambazo ni kutokana na upinzani kuungana na kura za hasira za baadhi ya wana CCM (unless ukiri mliiba kura Otherwise kura za CCM ni 3% pekee)

Sasa naomba unisaidie Kama Lowassa aliongeza 3% pekee na Dr Slaa kuondoka hakukupunguza chochote ni kipi ambacho wataongeza wakiwa CCM tena?

Bottom line: Vyovyote itakavyokua mshindi wa uchaguzi huu atashinda kwa simple majority hakuna landslide kwa yeyote muhim uchaguzi uwe huru na haki na tutajua mbivu na mbichi.
 
Slaa aliondoka CHADEMA 2015 alileta madhara gani? Kma Karati chadema ilipiga Hat-trick kuanzia mbunge, halmashauri mpaka Urais ina maana hana influence yoyote aliyopeleka CCM.

Lowassa Alikuta upinzani una 38% majority kwa matokeo ya serikali za mitaa na 2010!! Alichoongeza ni 3% tu ambazo ni kutokana na upinzani kuungana na kura za hasira za baadhi ya wana CCM (unless ukiri mliiba kura Otherwise kura za CCM ni 3% pekee)

Sasa naomba unisaidie Kama Lowassa aliongeza 3% pekee na Dr Slaa kuondoka hakukupunguza chochote ni kipi ambacho wataongeza wakiwa CCM tena?

Bottom line: Vyovyote itakavyokua mshindi wa uchaguzi huu atashinda kwa simple majority hakuna landslide kwa yeyote muhim uchaguzi uwe huru na haki na tutajua mbivu na mbichi.
Dk Slaa Aliondoka last minute kabla ya kupiga kura publicty ya kuondoka kwake ikawa finyu wafuasi wake hawakujua waende chama gani sababu alienda Canada aliwaacha hewani wasijue pa kuelekea sasa karudi CCM subiri uone kura za Karatu zinaenda CCM sababu wanajua Slaa kipenzi chao yuko CCM
 
Naona haja ya mgombea kukiri kushindwa na kupongeza aliyeshinda kihalali.

Tanzania ni moja na hatuwezi kupata Tanzania nyingine ikiwa itavurugika, Zanzibar ni moja na hatuwezi kupata nyingine ikiwa itavurugika.
Maneno ya hekima sana haya. Na vema umejitanabaisha kama mwana-ccm. Kama kila kitu kitaenda katika mstari tutaijenga Tanzania iliyo bora zaidi. Cha msingi tume iache ujinga wake na iwe huru. Aliyeshinda apewe na aliyeshindwa akubali tu hata kama ni gap kubwa au dogo kiasi gani
 
Lisu alipokuwa anapigania madini yetu, ulimtafsili kuwa ni mkorofi na mwenye kiburi. Kimaigizo igizo JPM anaigiza kufanya aliyokuwa anafanya Tundu Lisu, mnakatia viuno JPM kwa mapambio kuwa JPM ni mzalendo analinda lasilimali zetu! Weee lijamaa ni mnafiki kumzidi Judah Iskariote.
Kwani we na Magufuli mna urafiki mpaka umjue kiasi hicho au unasikiliza wanayosema wanasiasa?
 
Maneno ya hekima sana haya. Na vema umejitanabaisha kama mwana-ccm. Kama kila kitu kitaenda katika mstari tutaijenga Tanzania iliyo bora zaidi. Cha msingi tume iache ujinga wake na iwe huru. Aliyeshinda apewe na aliyeshindwa akubali tu hata kama ni gap kubwa au dogo kiasi gani
Fine, Tanzania - Tanzania - Tanzania
We have only one country Tanzania!
Kila mmoja awe upande wa kuhakikisha tunabaki wamoja!!
 
Mtu anayekuambia asiposhinda patachimbika huyo hata wafuasi wake wenye busara ni wachache mno,asilimia kubwa ni wahuni tu.Huyo akae mbali kabisa hatutaki kumuona.Tena usitukumbushe tukaanza kumwimbia nyimbo tulizomwimbia Oscar kambona (Mungu amrehemu)miaka ile.
 
Lisu alipokuwa anapigania madini yetu, ulimtafsili kuwa ni mkorofi na mwenye kiburi. Kimaigizo igizo JPM anaigiza kufanya aliyokuwa anafanya Tundu Lisu, mnakatia viuno JPM kwa mapambio kuwa JPM ni mzalendo analinda lasilimali zetu! Weee lijamaa ni mnafiki kumzidi Judah Iskariote.
Na wanavyojua kuvikata hivyo viuno.,[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Ni mawazo mazuri lakini kwa Tanzania niijuayo sidhani kama wanaweza kukaa meza moja anyway endelea kushauri
 
Ccm wameshajitangazia ushindi wa sjui wa kishindo hata kabla kura hazijapigwa kuna haki hapo? Tafakari hayo
Na Kijicho kusema atakuwa Waziri mkuu unaona ni haki? Utaratibu wa kupatikana waziri mkuu si uko wazi, eti demokrasia. Hapo bado Kabwela hajachagua cheo amalizie ujenzi ghorofa yake iliyosimama tangu uenyekiti kamati ya bunge.
 
Ulishasikia wapi Pombe anataka mkutano??? Mambo yaja....kuna watu watapata shinda sana wakiuchezea huu uchaguzi -- na kizuri zaidi watanyofolewa mmoja mmoja.... kujibu tuhuma kimataifa.
 
Ulishasikia wapi Pombe anataka mkutano??? Mambo yaja....kuna watu watapata shinda sana wakiuchezea huu uchaguzi -- na kizuri zaidi watanyofolewa mmoja mmoja.... kujibu tuhuma kimataifa.
Hiyo sidhani iwapo ni njia sahihi - wasiponyofolewa kujibu tuhuma za kimataifa nini suluhu ya mwisho
 
Na Kijicho kusema atakuwa Waziri mkuu unaona ni haki? Utaratibu wa kupatikana waziri mkuu si uko wazi, eti demokrasia. Hapo bado Kabwela hajachagua cheo amalizie ujenzi ghorofa yake iliyosimama tangu uenyekiti kamati ya bunge.
Nimekuja na hoja ya kuwakutanisha sio nani atakuwa nani au nani anamiliki nini - hata wewe huenda ujenzi umesimama lakini hujaacha kutafuta vyanzo vya kumalizia
 
Uchaguzi sio suala la hekima, ni suala la kisheria. Waende kwenye debe baada ya hapo ndio tuone kama kuna haja ya mazungumzo basi yafanyike.

Vyamya va siasa wakati huu vinapigania naisha ya kisiasa na kuchukua nguvu za dola.

Matayarisho ndio huwa yana taka hekima lakini sio suala la kwenda kwenye debe, nguvu anayo mwananchi.

Tutaomba uchaguzi usimamiwe vizuri na uwe wa haki na matokeo yaheshimiwe, na sio vinginevyo.
 
Yani JPM akae na vibaraka!?
Unamjua vizuri JPM au unamsoma tu kwenye mitandao?
 
Inasikitisha Sana kuona Taifa linameguka vipande vipande na Kuna watu wanaona sawa!?
Kuna Mkoa ,ambako ilikuwa ni ngome ya CHADEMA,Mwaka huu wwgombea wote Madiwani na Wabunge ,wameondolewa !
CCM Wanashangilia lakini Kuna uhasama mkubwa Sana ktk jamii hii,watu hawasalimiani ,wamenuniana......kwa Nini tufike huku...Tanzania kwa upofu au ulevi huu wa watu....kijiona ndio wenye hhati Miliki ya kutawala ,kitakuja jitokeza kitu Cha hatari ambacho hakuna atakaye amini!

Uchaguzi kesho, tunajua yanayotokea kila mmoja wetu katika jimbo lake, kelele zingine ni za kushindwa tuu, tusiwaendekeze wenye kushindwa, Debe ndio litaonyesha njia ya kwenda, wenye kushindwa huwa wagumu sana kuhakikisha mchakato unafanikiwa, sababu kufanikiwa kwa mchakato huo ndio kushindwa kwao.

Compromise hufanya na mwenye nyingi , mwenye chache hana kitu cha kufanya akucompromise, sababu hana cha kupoteza katika compromise hiyo.
 
Fine, weka maoni yako sasa usiishie njiani - kwa umri wako huwezi kuishia kuunga mkono au kukataa bila kuwa na njia sahihi ipasayo

Naamini maridhiano ni silaha kubwa ktk taifa lolote duniani

This is not electoral process, this time around is a electoral voting process, there no middle groung. It either no or yes when you cast your vote.

Allow this final process to take place then we embark on healing process.

ELECTION VOTING IS A POLITICAL PROCESS THAT YOU CAST YOUR VOTE TO ELECT A GROUP OF PEOPLE WHO SHALL DISTRIBUTE RESOURCES AND STATUS ON YOUR BEHALF.
 
Back
Top Bottom