Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makoze, njoo na suluhisho ili twende pamoja na wafuatiliaji wa uzi huu wachangie effectively - tunaihitaji Tanzania yenye viongozi wastarabu - wepesi wa kupongeza wenzao walioshinda.Je, ujasiri huu wagombea wanao kweli??Hakuna amani bila haki.
Amani ni tunda la haki.
Peace is the function of justice, wherever justice prevails so also does peace.
Kumbe, sijui kweli hebu nijuze ili na wengine waneemeke kwa majibu yako - hatuishi kujifunzaInaonekana hujui za ndani jikoni. Hao wengine walishakaa, isipokuwa Lissu amegoma, anasema hataki kukaa kikao cha kujadili amani, badala yake amesema atahudhuria kikao cha kujadili haki.
Milele sio Kweli....
Akili za wajinga kama wewe, ni shida!! Hivi una wazazi kweli wewe? una ndugu? Weka kando ubinafsi wako!! Mleta mada ameangalia maslahi mapana ya nchi!!Kikao cha nini. Kumuweka Rais wetu Magufuli na Lissu ni sawa na kumtia najsi.
Kubwa jinga hiloooo!Mtu anayekuambia asiposhinda patachimbika huyo hata wafuasi wake wenye busara ni wachache mno,asilimia kubwa ni wahuni tu.Huyo akae mbali kabisa hatutaki kumuona.Tena usitukumbushe tukaanza kumwimbia nyimbo tulizomwimbia Oscar kambona (Mungu amrehemu)miaka ile.
Ndio uwezo wenu wa kufikri ulipoishia!! Ujinga wa kujitakia!!Lissu hafai kushirikishwa, hastahili
Hapana mkuu!!kumkutanisha lissu katika kikao kimoja na hao mabumunda uliyoyataja ni kumshushia hadhi lissu.
Ukitoa Takwimu zinazoonyesha JPM atashinda huhitaji kibali! Lakini Takwimu za vinginevyo, unajitafutia matatizo ya kujikuta mikononi mwa Watu Wasiojulikana.Mitaa gani?
Nashindwa kutoa takwimu za ukubalika wa wagombea wa Urais kwa JMT sababu sina kibali lkn tayari uelekeo wa nani anashinda uko wazi sana
Himizeni kikao kufanyike kwa kuwa tunajenga nchi moja