Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Wapo bhanaHamnaga mwanaume mwenye mambo mengi kwa mwan.ke sahihi wewe...huyo hakupendi
Sasa wee kwa nini uwe attracted na hao mamujamaaa yenye mambo mengi wakati wakina mzabzab tupo hapa hatuna mambo mengi. Wee nipee mbususu mie huyo natulia zangu😀😀Wapo bhana
😂😂😂😂nimekuwa katibu tena?, lakini kuna hoja hapa mwenyekiti hao vijana wanaodai kujitafuta bado huwa wanahitaj mahitaji ya ndoa kama kupikiwa, kufuliwa na kupewa tamu ya baba, ili hali wamesema wanajitafuta hapa ndio penye mzizi wa fitinaAsante sana kwa maoni ndugu katibu,lakin vijana wa leo n waongo maisha yao ugaigai ujanja mwingi mjini,unategemea kutokea nini apo🥱🥱🥱🥱🥱🚶🏾♂️🚶🏾♂️
Wanazingua sana, mtu anasema sijaona wa kuoa tayari kwa muda mfupi anasema amelala nao kama 6 hivi na ameshagundua wanatoa harufu kwa Bibi, hawa vijana hawaaminikiUyo unaemwona ajaoelewa ana madanga 6 yote yanahudumia vizuri sasa anashindwa amchague yupi na unaeona hajaoa ana madem 15 na wote wamekula ela zote hadi ya kutolea mahali.
Sio wa kunyea 😂😂Mi nikipona wivu (level ya cancer stage 4) naoa.
Yan mi mbinafsi sana sitaki mtu anichafulie ninapoweka midomo!
Kingine ni mkataba wa ndoa kutokuwa na kipindi cha mpito (viambatanisho nimeweka)
View attachment 3087139
View attachment 3087140
View attachment 3087142
Kibunda gani hicho Mkuu 🤣 ushasahau tunavyopigana kikumbo kwenye ule uzi wetu unaofufukaga kila tarehe 23.Natunza kibunda.
Kama ni hivyo hakuna haja ya kuogopa kuolewa naeNi sahihi sana Yani Zaid ya 90 Yuko poa madhaifu ni ya kibinadamu tu kilamtu anayo
Nyieeeee bahati hiyoHaya nimejitokeza njoo nikuwowe basi....sina mengi mie irimradi unapumua na mbususu ipo
Umepandishwa cheo kama rc wa arusha😂😂😂,sawa sawa ndugu katibu,waambie waache Uharibifu wafanye waoe😂😂😂😂nimekuwa katibu tena?, lakini kuna hoja hapa mwenyekiti hao vijana wanaodai kujitafuta bado huwa wanahitaj mahitaji ya ndoa kama kupikiwa, kufuliwa na kupewa tamu ya baba, ili hali wamesema wanajitafuta hapa ndio penye mzizi wa fitina
Unamtolea siri za kambi sasa😂😂Kibunda gani hicho Mkuu 🤣 ushasahau tunavyopigana kikumbo kwenye ule uzi wetu unaofufukaga kila tarehe 23.
Mitaa ya moro townWapi huko
Wengi,hili la mshahara hata huwa hatulifikiriiUkianzisha Kampuni ujiandae na Mishahara
Imagine ningekua nimeoa sasa! 😆😆😆Kibunda gani hicho Mkuu 🤣 ushasahau tunavyopigana kikumbo kwenye ule uzi wetu unaofufukaga kila tarehe 23.
Ndio wap hukoMitaa ya moro town
Kah! sema wengine wamejifanya wamejiunga kwenye chama cha kataa ndoa ili hali wanapata huduma za ndoani, kua mmoja amesharudisha kadi tayari anasema kataa ndoa ni chama cha wahuni wanaojichukulia sheria mkononiUmepandishwa cheo kama rc wa arusha😂😂😂,sawa sawa ndugu katibu,waambie waache Uharibifu wafanye waoe
Morogoro mjiniNdio wap huko
Chaputa😂😂😂😂😂😂Kah! sema wengine wamejifanya wamejiunga kwenye chama cha kataa ndoa ili hali wanapata huduma za ndoani, kua mmoja amesharudisha kadi tayari anasema kataa ndoa ni chama cha wahuni wanaojichukulia sheria mkononi
wanajifanyaa oooh ndoa ni utapel wanaanza kuja kutusumbua kuomba ushauri oooh nikiingiza inalala humo humo haiamki sasa si uimwagie maji itashtuka😂😂😂😂Chaputa😂😂😂😂😂😂