Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Katiba ina mapungufu gani?Sijaona kwa sababu ya mapungufu ya katiba
Nitaoa haraka iwezekanavyo kama katiba itabadilishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba ina mapungufu gani?Sijaona kwa sababu ya mapungufu ya katiba
Nitaoa haraka iwezekanavyo kama katiba itabadilishwa
Yes, kwamfano Halima mdee et hajaolewa na urembo ule jamanUsagaji na ushoga unaharibu jamii
eti salama na kasura ka kirembo kale, hajaolewa kah!Usagaji na ushoga unaharibu jamii
Kwanini uogope au unaona huyo mwanaume sio sahihi kwako?Kabisa yaani lakin sijui why siwez Yani tukifika hapo na mtu Huwa nachanganyikiwa hata wiki siwez hata kula vizuri
Ukuje kwangu sasaSijaolewa kwasababu nina mwili wa mbu kimbaomba wanakosa pakushika
Inaitajika👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽Mahusiano ya ndoa ni kwa ajili ya wenye akili tu, hekima na busara
Hamnaga mwanaume mwenye mambo mengi kwa mwan.ke sahihi wewe...huyo hakupendiShemeji yako mambo mengi.
Huo ndio ukweli wenyeweNdugu mwenyekiti, vijana wengi hawajaoa kwa sababu, wanajitafuta hiyo sababu yao ya msingi.
😅😅Sijaolewa kwasababu nina mwili wa mbu kimbaomba wanakosa pakushika
We unazo tuanzie apo kwanza😂Natafuta Mchumba ,awe mweusi na awe na Fedha kwa mbali🤣
Asante sana kwa maoni ndugu katibu,lakin vijana wa leo n waongo maisha yao ugaigai ujanja mwingi mjini,unategemea kutokea nini apo🥱🥱🥱🥱🥱🚶🏾♂️🚶🏾♂️Ndugu mwenyekiti, vijana wengi hawajaoa kwa sababu, wanajitafuta hiyo sababu yao ya msingi.
Ukuje kwangu sasa
Haswaa na hili ndio jawabu.Hamnaga mwanaume mwenye mambo mengi kwa mwan.ke sahihi wewe...huyo hakupendi
Sasa sii uje kwangu nayekupenda....harusi kesho kutwa tuuHaswaa na hili ndio jawabu.
🤣 We hujawahi penda rafiki yangu nakujua vizuri sana.Sasa sii uje kwangu nayekupenda....harusi kesho kutwa tuu
Sii ndio nimekupenda wewe...first time for everything. Njoo bwana alafu hii story ya urafiki wapi na wai jamani. Simba na swala wawe marafiki uliona wapi🤣 We hujawahi penda rafiki yangu nakujua vizuri sana.
Umesahau poor gorvement policy😀😀Asantee,, land allenation, yaani zilezile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂