Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Asantee,, land allenation, yaani zilezileππππππππππForced labour
Low wages
Poor infrastructure ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asantee,, land allenation, yaani zilezileππππππππππForced labour
Low wages
Poor infrastructure ππ
Twahahaaa umejuaje kama napenda vimbaombaoSijaolewa kwasababu nina mwili wa mbu kimbaomba wanakosa pakushika
Shemeji yako mambo mengi.
πππUnskilled labour π
π€£π€£π€£π€£π€£bora umenitia moyo maneno ya faraja haya asante sana karibuYanazungumzika haya mama sisi wengine wazungu
Nakuja PM βΊοΈTupange basπ
Watoto wawahi shule π
kwwann unavipenda wakati nyama hakunaTwahahaaa umejuaje kama napenda vimbaombao
Sjao kwa sababu sna nyegeeKIKAO CHA LEO
Kinazungumzia Kwanini Hujaoa Na kwanini Huolewi
Kikao Kimeanza Karibu Kwa MaoniβοΈ
Natafuta Mchumba ,awe mweusi na awe na Fedha kwa mbaliπ€£
Daaah!Nimevaa Uhusika tu,Mimi sihitaji kabisaπ€wewe unazo
wewe unazo
Unakataje tamaa wakati duniani wawili wawili, kila mmoja yuko na soul mate wakeπ€£π€£π€£π€£π€£bora umenitia moyo maneno ya faraja haya asante sana karibu
Ni kweli muhimu subiraUnakataje tamaa wakati duniani wawili wawili, kila mmoja yuko na soul mate wake
Fact mkuuπNatunza kibunda.
Sijaona kwa sababu ya mapungufu ya katibaKIKAO CHA LEO
Kinazungumzia Kwanini Hujaoa Na kwanini Huolewi
Kikao Kimeanza Karibu Kwa MaoniβοΈ
Ukinunua gari gari letu ukijenga nyumba kwa ela zako nyumba yetu hata kama yakuikuta mukiachana pasu kwa pasuπππKIKAO CHA LEO
Kinazungumzia Kwanini Hujaoa Na kwanini Huolewi
Kikao Kimeanza Karibu Kwa MaoniβοΈ
mbona wa kuoa wako wengi, wenye sifa Kede kedeSijaoa kwasababu zifuatazo;
1, sijajiandaa kiakili tulioanbiwa "tuishi nao kwa akili"
2, sijampata wa kuoa mwenye anasifa ninazotaka.