Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Cjaolewa kwa sababu cdvggbfddffff yaani sababu ni zilezile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda umri wako bado haujakomaa vilivyo kuweza kuimudu hoja ya kuolewaKabisa yaani lakin sijui why siwez Yani tukifika hapo na mtu Huwa nachanganyikiwa hata wiki siwez hata kula vizuri
😀😀😀Mm Sina tatizo sabbu naitwa tu njoo ukae hapa nikulishe mwanaume akisema haoi ni changamoto 😂😂Nyani haoni kundule🤣🤣🤣🤣🤣
Umri wangu Mkubwa tuLabda umri wako bado haujakomaa vilivyo kuweza kuimudu hoja ya kuolewa
Forced labourCjaolewa kwa sababu cdvggbfddffff yaani sababu ni zilezile
Unataka malaika au?Kwasababu sijapata wa kunioa
daah nimecheka kipuuzi, like njoo kaa hapa nikulishe,,,😀😀😀Mm Sina tatizo sabbu naitwa tu njoo ukae hapa nikulishe mwanaume akisema haoi ni changamoto 😂😂
Mweeee hayo ndio mapenzi sasa usipopenda ndio unapendwa.Tena inaweza kuwa na zaidi Kwa jinsi jamaa anavonihusudu lakini Mimi Sasa sijui nimerogwa au ndio akili za kitoto
Yani nikitamkiwa ndoa mapigo ya moyo yanfika 240 Kwa saa
Changamoto kivipi tena wakati mambo easy tuu😀😀😀Mm Sina tatizo sabbu naitwa tu njoo ukae hapa nikulishe mwanaume akisema haoi ni changamoto 😂😂
Kumbe eehMweeee hayo ndio mapenzi sasa usipopenda ndio unapendwa.
Wee olewa na huyo anayekupenda kuliko unavyompenda.
Ukienda unalopenda wewe aisee utakuja lia hapa jf
Unafaa kuoaKwasababu sijapata wa kunioa
Ndio nakwambia sasa wee kaa hapo unapopendwa....huyo atakama umemkosea wewe msamaha ataomba yeye 🤣🤣🤣🤣Kumbe eeh
Yanazungumzika haya mama sisi wengine wazunguSijaolewa kwasababu nina mwili wa mbu kimbaomba wanakosa pakushika
😂😂Navopenda kubembelezwa Sasa nimekaa kilast born 😂😂Ndio nakwambia sasa wee kaa hapo unapopendwa....huyo atakama umemkosea wewe msamaha ataomba yeye 🤣🤣🤣🤣
Kama nakuona unavyo jibebishaaaa😂😂Navopenda kubembelezwa Sasa nimekaa kilast born 😂😂
😀😀Kama nakuona unavyo jibebishaaaa
Tunafanyaje sasa Aaliyyah ☺️Oa wew acha visingizio
Unskilled labour 😆Forced labour
Low wages
Poor infrastructure 😀😀