Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Hoja yangu sio hioSingle mothers watakazwa na nani? Mnataka wasagane wao kwa wao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yangu sio hioSingle mothers watakazwa na nani? Mnataka wasagane wao kwa wao?
hawatatoboa..😂naona wenye wake zenu mmekuja kitaalam
Ndio nimesema wakiomba kukazwa wakazwe tu la sivyo wataanza kusagana wao kwa wao, mnataka wafanye hivyo?Hoja yangu sio hio
Lakini ikioshwa vizuri inakuwa mupya kabisa,Ni uchafu kula mke wa mtu, kulala na mke wa mtu ni jambo la ajabu sana.
Unajua pasi na shaka, huyu analala na mume wake yule pale kila siku.
Sijui wanaume tuna shida gani, unakosaje pride ya kukubaliana na uchafu wa kiwango hicho.
Mkuu umechanganya mada. Kikao hakijaazimia kuzuia wanaume wasichepuke. Kimezuia wanaume kuchepuka na wake za watu. Hata hivyo, ukifulia ndoa ndio itakuwa ngumu kupita maelezo.Kweli usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio.
Lakini nachoamini ukitaka mwanaume atulie, sharti afulie, akikosa pesa mfukoni mdomo hawezi kufungua, lakini akiwa na pesa, sio rahisi kumtuliza mwanaume.
Hapana,Ndio nimesema wakiomba kukazwa wakazwe tu la sivyo wataanza kusagana wao kwa wao, mnataka wafanye hivyo?
Basi wakazwe tu hakuna namna la sivyo watasaganaHapana,
Ndomu pia zihusikeBasi wakazwe tu hakuna namna la sivyo watasagana
Hua hazeeki akiwa na mileage kuanzia 18-25 akifika 35-40 hapo labda maana zile ring's za uke zinakua nyingi sana kuelekea chini wajuba washazamisha sanaameshazeeka
Kupenda au kutembea na wake wa watu ni dalili kuu ya mtu-mume kuhitaji awe shoga bila shuruti.Kikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja kuu Nne
1. Idadi ya wanawake wasio ndoani ni kubwa sana duniani hivyo hakuna sababu ya kuchukua wenye waume.
2. Wanaume HALISI hawasamehe wakibaini mke alicheat;
3. Wanawake walio ndoani huwaga hawakatai wakitongozwa (reserved for future study).
4. Game ya mke wa mtu huwa ni Kali sana mithili ya fainali na hii inaongeza shida ya kiroho kwa MUME wa mwanamke huyo.
Mjadala ulikuwa mzito ila mwenyekiti alikuwa imara na mwisho wa Kikao ikaazimiwa hivyo.
Mwisho wa Kikao.