Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia.Kikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja kuu Nne
1. Idadi ya wanawake wasio ndoani ni kubwa sana duniani hivyo hakuna sababu ya kuchukua wenye waume.
2. Wanaume HALISI hawasamehe wakibaini mke alicheat;
3. Wanawake walio ndoani huwaga hawakatai wakitongozwa (reserved for future study).
4. Game ya mke wa mtu huwa ni Kali sana mithili ya fainali na hii inaongeza shida ya kiroho kwa MUME wa mwanamke huyo.
Mjadala ulikuwa mzito ila mwenyekiti alikuwa imara na mwisho wa Kikao ikaazimiwa hivyo.
Mwisho wa Kikao.
Kweli usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio.
Lakini nachoamini ukitaka mwanaume atulie, sharti afulie, akikosa pesa mfukoni mdomo hawezi kufungua, lakini akiwa na pesa, sio rahisi kumtuliza mwanaume.
Wekeni namba ya simu ili wakijileta tutoe taarifa mje muwakamateKikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja kuu Nne
1. Idadi ya wanawake wasio ndoani ni kubwa sana duniani hivyo hakuna sababu ya kuchukua wenye waume.
2. Wanaume HALISI hawasamehe wakibaini mke alicheat;
3. Wanawake walio ndoani huwaga hawakatai wakitongozwa (reserved for future study).
4. Game ya mke wa mtu huwa ni Kali sana mithili ya fainali na hii inaongeza shida ya kiroho kwa MUME wa mwanamke huyo.
Mjadala ulikuwa mzito ila mwenyekiti alikuwa imara na mwisho wa Kikao ikaazimiwa hivyo.
Mwisho wa Kikao.
Tutajitahidi. Ila mke wa mtu mtamu nyie... weeeKikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja kuu Nne
1. Idadi ya wanawake wasio ndoani ni kubwa sana duniani hivyo hakuna sababu ya kuchukua wenye waume.
2. Wanaume HALISI hawasamehe wakibaini mke alicheat;
3. Wanawake walio ndoani huwaga hawakatai wakitongozwa (reserved for future study).
4. Game ya mke wa mtu huwa ni Kali sana mithili ya fainali na hii inaongeza shida ya kiroho kwa MUME wa mwanamke huyo.
Mjadala ulikuwa mzito ila mwenyekiti alikuwa imara na mwisho wa Kikao ikaazimiwa hivyo.
Mwisho wa Kikao.
Kikao kijacho ni maazimio kwa wataokaidišhawatatoboa..š
Tatizo ni kwa wote tuNi uchafu kula mke wa mtu, kulala na mke wa mtu ni jambo la ajabu sana.
Unajua pasi na shaka, huyu analala na mume wake yule pale kila siku.
Sijui wanaume tuna shida gani, unakosaje pride ya kukubaliana na uchafu wa kiwango hicho.
Ni uchafu kula mke wa mtu, kulala na mke wa mtu ni jambo la ajabu sana.
Unajua pasi na shaka, huyu analala na mume wake yule pale kila siku.
Sijui wanaume tuna shida gani, unakosaje pride ya kukubaliana na uchafu wa kiwango hicho.
Kwani mkuu ukilala na wanawake wengine wasio wake za watu, nao si huwa wana watu wao pia?
Kama ni suala la usafi basi watu waache kubinjuana iwe kwa wake za watu au wanawake wengine...
Mwamba kwenye kikao alisema tusikule mke wa mtu halafu anakazia game na mke wa mtu tamu. Back benchers wakasema lazima wale wake zawatu wajionee kwanza kama hoja za msemaji ni za kweliMbona sjaona point ya braza Mzee wa kupambania au hakuwepo?
Mchapiwa"s comment;Best thread ever since 2010
Natengua kula inaruhusiwa lakini kiakili sana sometimes huwa tunajazia ambapo mzee wa nyumba kapeleaKikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja kuu Tano:
1. Idadi ya wanawake wasio ndoani ni kubwa sana duniani hivyo hakuna sababu ya kuchukua wenye waume.
2. Wanaume HALISI hawasamehe wakibaini mke alicheat;
3. Wanawake walio ndoani huwaga hawakatai wakitongozwa (reserved for future study).
4. Game ya mke wa mtu huwa ni Kali sana mithili ya fainali na hii inaongeza shida ya kiroho kwa MUME wa mwanamke huyo.
5. Mke wa Mtu sumu hata kama ghetto una maziwa.
Mjadala ulikuwa mzito ila mwenyekiti alikuwa imara na mwisho wa Kikao ikaazimiwa hivyo.
Mwisho wa Kikao.
Am not married I just appreciate everyone who is protecting the family and insure the state well being of children and marriageMchapiwa"s comment;