johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hivi ni yule alikuwepo SUA?Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Kunywa mchuzi nyama utazikuta chini bwashee!Uzito upo wapi sasa? au unaendelea kutoa updates?
Kama ni huyo,ni wa ajabuHivi ni yule alikuwepo SUA?
Mimi naona kwa Tanzania hamna shida. Kama mwendazake aliweza urais na mambo yakaenda tu iyo nafas ya ugavana hata ukimpa Irene Uwoya ataimudu tu.Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Uyo Luoga aliteuliwa na nani kwa ufahamu wako labda!!?Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Alale peponi wapi, yule mwenye bichwa lililojaa ubaya, anakula "vitasa" huko Jehanamu.Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naona kwa Tanzania hamna shida. Kama mwendazake aliweza urais na mambo yakaenda tu iyo nafas ya ugavana hata ukimpa Irene Uwoya ataimudu tu.
Ohoooo!!!!Maandalizi za kuficha ripoti ya uchunguzi wa CAG na TAKUKURU. Maana taarifa za ndani zinaonyesha Makamu wa Rais na Gavana wapo kwenye hiyo scandal.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Hivi ugavana wa Central bank nao unasomewa? Mpaka uwe pure economist? Haaaa vijana wa siku hizi mnatisha.Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
kilo ngapiRais Samia amekuwa na kikao na makamu wake Dr Mpango na Gavana wa benki kuu Prof Luoga Ikulu Dodoma.
Source Ayo tv
Ramadhan Kareem!
Oyaa we Myebusi unazingua. ππππMimi naona kwa Tanzania hamna shida. Kama mwendazake aliweza urais na mambo yakaenda tu iyo nafas ya ugavana hata ukimpa Irene Uwoya ataimudu tu.
Nadhani alitunukiwa baada ya kuwa mmoja wa wajumbe tume ya makinikia.Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Kwani rwanda wanafanyaaje?Hivi ugavana wa Central bank nao unasomewa? Mpaka uwe pure economist? Haaaa vijana wa siku hizi mnatisha.