Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hongera sana kwa kuwa na kumbukumbu mzuri.Nadhani alitunukiwa baada ya kuwa mmoja wa wajumbe tume ya makinikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana kwa kuwa na kumbukumbu mzuri.Nadhani alitunukiwa baada ya kuwa mmoja wa wajumbe tume ya makinikia.
Acha mwenyekiti ale kiuno na kufanya starehe kupitia ruzuku na michango ya wajingaHapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Lack of sense.Kwani rwanda wanafanyaaje?
Vikao ni vingi mno.tembelea mikoa mamaRais Samia amekuwa na kikao na makamu wake Dr Mpango na Gavana wa benki kuu Prof Luoga Ikulu Dodoma.
Source Ayo tv
Ramadhan Kareem!
Mwisho mtasema Chief Justice sio lazima awe amesomea sheria.Hivi ugavana wa Central bank nao unasomewa? Mpaka uwe pure economist? Haaaa vijana wa siku hizi mnatisha.
mambo kwenda yanaende tu. tatizo yaliendaje na outcome yake ilikuwaje. hapo ndio kuna tofautiMimi naona kwa Tanzania hamna shida. Kama mwendazake aliweza urais na mambo yakaenda tu iyo nafas ya ugavana hata ukimpa Irene Uwoya ataimudu tu.
Actually, si ajabu kivile.Mwisho mtasema Chief Justice sio lazima awe amesomea sheria.
Amandla...
Mwendazake alimteuwa tarehe 23 October 2017!Uyo Luoga aliteuliwa na nani kwa ufahamu wako labda!!?
Unamaanisha wameelemewa na tonnage ya kikao?Rais Samia amekuwa na kikao na makamu wake Dr Mpango na Gavana wa benki kuu Prof Luoga Ikulu Dodoma.
Source Ayo tv
Ramadhan Kareem!
No, alikuwa UDHivi ni yule alikuwepo SUA?
Mh! 😵😗Actually, si ajabu kivile.
Kwa mfano Marekani, nchi ambavyo ni pevu kwenye masuala ya sheria, Supreme Court justices, akiwemo Chief Justice, si lazima wawe na shahada ya chuo kikuu, achilia mbali shahada ya sheria....
Fact.Mh! 😵😗
Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Mwendaza zake angemaliza mi5 tena angeuwa inchiMimi naona kwa Tanzania hamna shida. Kama mwendazake aliweza urais na mambo yakaenda tu iyo nafas ya ugavana hata ukimpa Irene Uwoya ataimudu tu.
Ulitaka apewe nani?Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Mara ya pili?!Ndugu Ndugai hii phobia uliyo nayo dhidi ya Mbowe kuna siku utaliwa
Siyo lazima uwe economist. Unaweza kuwa Economist, au Lawyer au AccountantHivi ugavana wa Central bank nao unasomewa? Mpaka uwe pure economist? Haaaa vijana wa siku hizi mnatisha.
Ngoja wakuteue weweProf. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!