Kikao Kizito: Rais Samia akutana na Makamu wake Dkt. Philip Mpango na Gavana wa BoT, Prof. Luoga

Kikao Kizito: Rais Samia akutana na Makamu wake Dkt. Philip Mpango na Gavana wa BoT, Prof. Luoga

Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.

Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Viatu usivyovaa huwezi jua vinaumizaje mkuu hangeweza kupewa ikiwa hana uwezo na kuimanage tusiongee ongee sana.
 
Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.

Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Dr. Kimei fits for the post of BOT Governor; and had Philly not been in the current position, Kimei would have also fitted as an Economic Adviser to the President.
 
Nadhani alitunukiwa baada ya kuwa mmoja wa wajumbe tume ya makinikia.
Kwani professor Beno Nduru alitusaidia nini wakati wa Jk pamoja na kusomea uchumi?kipindi chake chote ndipo shiling yetu iliporomoka mpaka ikaitwa ela ya madafu,watu walijichotea ela BOT kadiri walivyotaka.Bora Ruoga mara mia maana amezibiti anguko la shiling miaka 5 dorra imepatanda kwa sh250.Ruoga ni shujaa hata kama hampendi.
Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.

Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
 
Back
Top Bottom