SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Kuwa Gavana sio cheo cha kisiasa kinachohitaji kujua kusoma, kuandika na kusifia.Hivi ugavana wa Central bank nao unasomewa? Mpaka uwe pure economist? Haaaa vijana wa siku hizi mnatisha.
Tafuta sifa za magavana wote Tanzania kabla ya huyu ndio uje uandike uharo wa bata hapa.
Anzia CV ya Edwin Mtei....., Idris Rashid,..., Prof. Ndulu n.k