Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,042
- 776
U naelewa maana ya chanjo?Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U naelewa maana ya chanjo?Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Bashiru Ally akiona hii picha presha inapanda presha inashukaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Makamo wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Philip Isidor Mpango na Gavana wa Benki Kuu nchini Prof .Florens Luoga ,Ikulu jijini Dodoma leo.
View attachment 1753844
View attachment 1753845
Ramadhan Kareem!
Kama ni huyo,ni wa ajabu
Actually, si ajabu kivile.
Kwa mfano Marekani, nchi ambavyo ni pevu kwenye masuala ya sheria, Supreme Court justices, akiwemo Chief Justice, si lazima wawe na shahada ya chuo kikuu, achilia mbali shahada ya sheria....
Gavana wa BOT anatakiwa kujua mbinu na mikakati ya kuthibiti mfumuko wa bei katika nchi. Anatakiwa kujua jinsi ya kutekeleza sera za fedha ambazo zitapelekea uchumi wa nchi kukua. In other words he must be competent in monetary policy management and how their harmonization with fiscal policies can lead to macroeconomic stability and hence economic growth of an economy. Sasa were mwenyewe amua mtu wa namna hiyo anatakiwa asomee nini?Gavana anatakiwa asome Nini?
Hivi huyu Luoga ndio yule aliyekuwa Sokoine University miaka ileProf. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Ingekua busara sana ukazitoa hapa hizo taarifa za ndaniMaandalizi za kuficha ripoti ya uchunguzi wa CAG na TAKUKURU pale BoT. Maana taarifa za ndani zinaonyesha Makamu wa Rais na Gavana wapo kwenye hiyo scandal.
Ukisoma Sheria ya BOT inataja sifa za mtu anayeweza kuwa gavana, mwanasheria pia ametajwa so ilikuwa uteuzi sahihi kabisa. Besides, Luoga amekuwa mshauri wa masuala ya kodi kwa serikali ya Uganda, Kenya na Tanzania kwa muda mrefu sana na ni mmoja ya wataalamu walioisuka Tax Act na zile financial regulations.
Bwashee hapo ni ikulu?,au wamekutana kwenye ofisi za halimashauri ya mji.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Makamo wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Philip Isidor Mpango na Gavana wa Benki Kuu nchini Prof .Florens Luoga ,Ikulu jijini Dodoma leo.
View attachment 1753844
View attachment 1753845
Ramadhan Kareem!
Ndugaye alisomea wanyama pori,ila sa hizi anasimamia mhimili mkuu Wa kutunga sheria.Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Ikulu iliyojengwa kwa fedha za ndani!Bwashee hapo ni ikulu?,au wamekutana kwenye ofisi za halimashauri ya mji.
Hahaaa hicho kiti gharama yake ni 6000\= bwashee.Ikulu iliyojengwa kwa fedha za ndani!
Prof. F. Luoga ametokea UDSM...Hivi ni yule alikuwepo SUA?
Ok sawaP
Prof. F. Luoga ametokea UDSM...
DU IKULU VITI VYA PLASTIC??😃😃😃 HII NI AIBU KUBWA SANARais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Makamo wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Philip Isidor Mpango na Gavana wa Benki Kuu nchini Prof .Florens Luoga ,Ikulu jijini Dodoma leo.
View attachment 1753844
View attachment 1753845
Ramadhan Kareem!
Hapo ndipo mnapo kwama sasa habari za mbowe na joyce nkya ambazo ni mambo binafsi yanahusikaje na maswala yaliyopo hapa? Hebu muache ujinga basiHapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Ikulu mpya hiyo bado inaendelezwa sheikhDU IKULU VITI VYA PLASTIC??😃😃😃 HII NI AIBU KUBWA SANA
Pamoja na hayo.Ikulu mpya hiyo bado inaendelezwa sheikh
Teh teh tehPamoja na hayo.
Mimi sio SHEKHE usiniite jona hilo.[emoji2955][emoji2955][emoji2955]