Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Jibu swali wewe mnyarwandaLack of sense.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali wewe mnyarwandaLack of sense.
Safari hii lazima tuwarudishe kwenu nyie wahamiaji haramuLack of sense.
Mimi naona kwa Tanzania hamna shida. Kama mwendazake aliweza urais na mambo yakaenda tu iyo nafas ya ugavana hata ukimpa Irene Uwoya ataimudu tu.
Gavana anatakiwa asome Nini?Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Kuna jamaa alikuwa Rais wa Nchi moja ya kiafrika, yeye zake ni kupaa tu mara leo yuko caribean kule anabembea, kesho yuko kanada anaendeshwa na yale magari ya kuvutwa na farasi, kesho kutwa yuko USA anashangaa airport zilivyo kubwa na nzuri kama mbinguni Na nchi yake ilikuwa inajiendea tu kwa gravity.mambo kwenda yanaende tu. tatizo yaliendaje na outcome yake ilikuwaje. hapo ndio kuna tofauti
SiyoHivi ni yule alikuwepo SUA?
OkaySiyo
Mbona huleti miniti za kikao?Rais Samia amekuwa na kikao na makamu wake Dr Mpango na Gavana wa benki kuu Prof Luoga Ikulu Dodoma.
Source Ayo tv
Ramadhan Kareem!
ww ndio mpumbavu, hv hujui mbowe anapofanya social distance ni kwaajili ya kuwazuia wengine ambao hawajapata chanjo wasiambukizwe ikitokea yeye amebeba virusHapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Maswali na majibu ya papi Kwa hapo[emoji1787][emoji1787]Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Bàdala ya Rais kwenda mwenyewe BOT yeye anamwita gavana ikulu?kule wanachota tuRais Samia amekuwa na kikao na makamu wake Dr Mpango na Gavana wa benki kuu Prof Luoga Ikulu Dodoma.
Source Ayo tv
Ramadhan Kareem!
Wajinge ni wale wanaokesha humu kusifia kisha wakina Silinde, Katambi, Kitila .. .... wanakuja huko kula kiulainiiii.Acha mwenyekiti ale kiuno na kufanya starehe kupitia ruzuku na michango ya wajinga
Siyo muda wenu tena tuwachieni na sisi watu wa pwani tutese.Haya maneno yatakuja 'kuwatafuna'.
Kunywa mchuzi bwashee nyama utazikuta chini!Mbona huleti miniti za kikao?
Si wewe ni Katibu?
Mwigullu Nchemba anafanya kazi chini ya Dr Mpango!Ni kwanini gavana bilaa waziri wa fedha na mipango?maana makamu wa raisi ndo alikuwa waziri wa fedha na mipango so anajua Mambo ya gavana hapo B.O.T kwanini kikao bila waziri Kuna Nini?
Usishangae tukapata vp mwingineKichekesho inawezekana kuna hela mpango aliidhinisha zitolewe Jan-March hazieleweki zilikuwa zinaenda wapi.......hapo ndiyo utajua Gavamenti haijabadirika
Ingawa unachosema ni kweli kuwa sio lazima awe ana shahada ya sheria lakini kuna caveats. K.m. anatakiwa apitishwe na Senate kabla ya kuwa confirmed. Huko jina lake linapita kwanza kwenye Senate Judiciary Committee ambayo imejaa wanasheria. Likitoka hapa anahojiwa na Senate nzima kuhusu uwezo wake na ufahamu wake wa mambo ya sheria. Vigingi hivi ni vigumu sana kwa mtu asie na shahada ya sheria na ambae hajawahi ku practise sheria kwa njia moja au nyingine. Sio bure kuwa Justices wengi wali Clerk kwa majustices kabla ya kuteuliwa.Actually, si ajabu kivile.
Kwa mfano Marekani, nchi ambavyo ni pevu kwenye masuala ya sheria, Supreme Court justices, akiwemo Chief Justice, si lazima wawe na shahada ya chuo kikuu, achilia mbali shahada ya sheria....