Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
- Thread starter
- #101
Niliwahi kuweka?Siku hizi huweki namba ya simu utapishana na pdf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi kuweka?Siku hizi huweki namba ya simu utapishana na pdf
Hapana, hebu tuite koleo kwa jina lake...Kikatiba hayuko sahihi!Kikatiba Rais Samia yuko sahihi kumteua Naibu Waziri Mkuu
Kikatiba yuko sahihiHapana, hebu tuite koleo kwa jina lake...Kikatiba hayuko sahihi!
Petro E. Mselewa(2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuziunaofanywa na Rais.
Mkuu, Ibara ya 36 (1) inahusu kuanzisha nafasi za kimadaraka ambazo si lazima zitajwe kwenye Katiba. Pia, inahusu kufuta zile nafasi zinazotajwa kwenye Katiba au ambazo zilishaanzishwa. Ibara ya 36 (2) inahusu mamlaka ya Rais juu uteuzi wa nafasi zilizotajwa kwenye Katiba.Petro E. Mselewa
Hiyo nayo imekaaje? Katiba inasema "nafasi ambazo zimetajwa katika katiba hii au katika sheria mbalimbali"
Sasa nafasi ya NAIBU WAZIRI MKUU imetajwa katika ibara gani ya katiba hii? Au katika sheria gani iliyotungwa na bunge?
Hebu tujadilianeni
Ni sawa lakini ;Mkuu, Ibara ya 36 (1) inahusu kuanzisha nafasi za kimadaraka ambazo si lazima zitajwe kwenye Katiba. Pia, inahusu kufuta zile nafasi zinazotajwa kwenye Katiba au ambazo zilishaanzishwa. Ibara ya 36 (2) inahusu mamlaka ya Rais juu uteuzi wa nafasi zilizotajwa kwenye Katiba.
Ndiyo kusema, Ibara ya 36 (1) inatoa mamlaka kwa Rais kuanzisha nafasi ambazo si lazima ziwe zimetajwa kwenye Katiba. Mojawapo ni ya Naibu Waziri Mkuu ambayo imeanzishwa jana.
You have a point Mkuu!Ni sawa lakini ;
Huuoni kuwa huu utata unakuja kwa sababu sisi hatuna "enumerated powers doctrine" kwenye mfumo wa Katiba yetu, kama baadhi ya nchi?
Na Je si kwamba, kama kitu kwenye Katiba hakijasemwa kwamba kiwepo maana yake kimekatazwa na hivyo hakipaswi kuwepo?