Magufuli alikuwa Nabii, mtumishi wa Mungu.Jiwe alikuwa Mcha Mungu?
John=Yohana
Ndiye aliyewwkwa na Mungu Ili kuandaa ujio wa utawala wa Mungu katika tawala za WANADAMU.
Tanzania ni Magu, USA ni Trump.
Yeyote akaaye viti vikuu kuongoza WANADAMU, asipotimiza kusudi la Mungu duniani,
KITI hicho hakitakalika.
Lissu ni mtumishi wa Mungu pia.
Tusubiri.