balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
it was an amazing moment everMeko alikata moto kiutamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
it was an amazing moment everMeko alikata moto kiutamu sana
he had a gross imbecility.Yule alikuwa mwendawazimu watu walishaambiwa makundi yaliyokuwa hatarishi kufyekwa na UVIKO ni yapi na ikiwemo watu wenye shida za moyo kama yeye , akawa anapuuza tu anajichanganya kwenye mikusanyiko na havai mask hataki chanjo anasema maombi yaliondoa UVIKO.
Wewe umehadithiwa haujasikiliza yale mahojiano,embu kasikilize tena ndio uje uchangie hapa.Tundu Lissu ni careless kwa kusema kwamba Wassira ni debe tupu.
Kwa kusema kwamba yeye ni Chairman,ataongea na Chairman mwenzake,hana muda wa kuongea na watu wadogo.
Arrogance,Mbowe amekiongoza Chama kwa miaka 20,Tundu Lissu anataka kukiua Chama baada ya siku mbili.