Tundu Lissu ni careless kwa kusema kwamba Wassira ni debe tupu.
Kwa kusema kwamba yeye ni Chairman,ataongea na Chairman mwenzake,hana muda wa kuongea na watu wadogo.
Arrogance,Mbowe amekiongoza Chama kwa miaka 20,Tundu Lissu anataka kukiua Chama baada ya siku mbili.