Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3] Nchi ngumu sana hiiDah... ashakuwa mkurugenzi mstaafu [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Kwa hiyo unaweza kutafsiri jina la chuo kwa jinsi unavyotaka? Na unaandika kabisa kwenye CV yako!True ni St John ya Dodoma na jioni wanatoa Degree hapa Dar office Yao ni St Mark. Najua watu waliosoma hapo bado hakuna shortcut sijui Kwa SASA.
Nimeona CV ya mkurugenzi mkuu mstaafu wa TPDC ndugu Thobias Mwesiga akieleza kuwa anasoma "Yohana University" masomo ya jioni.
Nimejaribu kutafuta hicho chuo kinachojulikana kama "Yohana Iniversity" kama mwenzetu alivyoandika nimekikosa.
Naomba msaada kwa anayejua Yohana university ilipo anisaidie nikaangaliepo ngekewa na mimi.
Hilo ni kosa na inawezekana kuna sababu za kimagumashi .Kwa hiyo unaweza kutafsiri jina la chuo kwa jinsi unavyotaka? Na unaandika kabisa kwenye CV yako!
Mbona kuna Chuo Kikuu huria na Open University of Tanzania? Labla alijaribu kupita humo humo. Cha muhimu hii tafsiri yake ya YOHANA haina magumashi? ilikuwa ya Nia nzuri? Je kweli kasoma St John evening class?Wewe unatafsiri majina lakini kiuhalisia St John University siyo Chuo kikuu cha Mtakatifu Yohana labda kama kilisajiliwa kwa majina mawili!
Mkuu hebu soma ulicho kiandikayohana univwasht tena evering class loh hii kubwa sana, nchi inachezewa hii hakyachattle walay
Hata rangi ya kiti haijui...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaha, eti mkurugenzi mstaafu...
Hata kitasa cha mlango wa ofisi hajui jinsi kinavyofanana
Wewe unasoma nini hapo St. John University (Evening Class ya Dar)??True ni St John ya Dodoma na jioni wanatoa Degree hapa Dar office Yao ni St Mark. Najua watu waliosoma hapo bado hakuna shortcut sijui Kwa SASA.
Hakika. Majina ya usajili hayatafsiriwi.Wewe unatafsiri majina lakini kiuhalisia St John University siyo Chuo kikuu cha Mtakatifu Yohana labda kama kilisajiliwa kwa majina mawili!