Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hiki chuo nilidhani johnthebaptist anajua kilipo maana tafsiri ya jina lake imetumika kama jina la chuo.St John University ndio Yohana University?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki chuo nilidhani johnthebaptist anajua kilipo maana tafsiri ya jina lake imetumika kama jina la chuo.St John University ndio Yohana University?
Hapana Ila nafahamu watu waliosoma hapo tena kozi wanazotoa hapo ni hiyo hiyo HR Aliyosoma msaafu WA TPDC mwanzoni walipoanza walikodi madarasa mjini katikati Ila nasikia, sina uhakika walishajenga . Hii ukiacha na Ile iliyokuwa Mazengo Sec School. Hivyo St John ya Mazengo ina Tawi Mjini ambalo nahisi ndilo alisoma mstaafu.Wewe unasoma nini hapo St. John University (Evening Class ya Dar)??
Katiba inasemaje kuhusu mafao yake au yatatumwa hukohuko uvccmJamaa ni Mstaafu Tayari wa TPDC
Mkuu, keshapigwa chini haya mengine ya kwake au kuna kitengo kapewa tena?Nimeona CV ya mkurugenzi mkuu mstaafu wa TPDC ndugu Thobias Mwesiga akieleza kuwa anasoma "Yohana University" masomo ya jioni.
Nimejaribu kutafuta hicho chuo kinachojulikana kama "Yohana Iniversity" kama mwenzetu alivyoandika nimekikosa.
Naomba msaada kwa anayejua Yohana university ilipo anisaidie nikaangaliepo ngekewa na mimi.
Chuo gan hakina hata website!Kipo Nairobi!
Hajafikia umri huo hata .Muache mtoto wa watu aendelee kupumzika kwa amani pema ustaafuni
Kastaafu hio kazi alio teuliwa jana usikuHajafikia umri huo hata .
Ni DSO Kigoma kama unakumbuka huyo Mwesigwa ndo alimtishia kumuua Zitto Kabwe pale Bungeni.
🤣🤣🤣🤣St John University ndio Yohana University?
Walijisahau Sana hawa watuHajafikia umri huo hata .
Ni DSO Kigoma kama unakumbuka huyo Mwesigwa ndo alimtishia kumuua Zitto Kabwe pale Bungeni.
Chuo cha Yohana mbatizaji!
Bila shakaHuyu johnthebaptist ?
Dogo alimaliza 2013 . 2017 DSO.Kipo Nairobi!
acha ujingaMwesiga ni jina la kihaya,bila shaka kuna mkono wa kihaya hapo ikulu ulitaka kufanya mambo yao ya ukabila
Duuuuh kwahiyo atalipwa atalipwa mafao ya kustaafuDah... ashakuwa mkurugenzi mstaafu [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]